Ubalozi wa Marekani nchini Iraq wachomwa moto, inasikitisha

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,115
10,822
Ubalozi wa Marekani nchini Iraq nchi ambayo Marekani imekuwepo kijeshi kwa muda mrefu tangu walipompindua Saddam Hussein umechomwa moto na waandamanaji wenye mrengo wa kuiunga mkono Iran. Hii inafuatia hapo juzi kushambuliwa kwa kambi za wanamgambo huo na kuuliwa wapiganaji wasiopungua 25.

Katika mashambulizi hayo ya juzi Marekani ilijigamba kushambulia Iraq na Syria kwa wapiganaji wenye kuiunga Iran. Hii ilitokana na shambulizi siku mbili kabla lililomuuwa mkandarasi wa kimarekani nchini humo.
 
Marekani alibugi sana kwa kumuondoa Saddam akijua fika ndio nguvu iliyokuwepo hapo jirani na Iran
Wameweka figisu wee mpaka wakawapa nguvu Shia ambapo Iran alikataa kabisa kuungana nao hapo mwanzo kwa kuwa ni Kurd
Sasa mambo yamekuwa mambo naona Iran anataka kuwepo hapo na USA anaisoma
Yaani vita ya Middle East ni ngumu kuisha huku Israel kwa pembeni Lebanon na Syria daaa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Marekani alibugi sana kwa kumuondoa Saddam akijua fika ndio nguvu iliyokuwepo hapo jirani na Iran
Wameweka figisu wee mpaka wakawapa nguvu Shia ambapo Iran alikataa kabisa kuungana nao hapo mwanzo kwa kuwa ni Kurd
Sasa mambo yamekuwa mambo naona Iran anataka kuwepo hapo na USA anaisoma
Yaani vita ya Middle East ni ngumu kuisha huku Israel kwa pembeni Lebanon na Syria daaa


Sent from my iPhone using Tapatalk
Sikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawajaua mtu wala hawajachoma, wameingia tu kwa nguvu eneo la ubalozi
Wacha kuongea mambo uso yajua kijana au unajua klko turampeti?!....
tapatalk_1577809635340.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani alibugi sana kwa kumuondoa Saddam akijua fika ndio nguvu iliyokuwepo hapo jirani na Iran
Wameweka figisu wee mpaka wakawapa nguvu Shia ambapo Iran alikataa kabisa kuungana nao hapo mwanzo kwa kuwa ni Kurd
Sasa mambo yamekuwa mambo naona Iran anataka kuwepo hapo na USA anaisoma
Yaani vita ya Middle East ni ngumu kuisha huku Israel kwa pembeni Lebanon na Syria daaa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kaka USA kuvamia Iraq, au kutetea Kuwait, kusaidia Libya, kuingilia maugomvu Syria, Kumchukia Iran na Venezuela, yana jibu moja tu, OIL, basi..
 
Hutamuonei huruma USA hata kidogo, mpaka akome kuingilia siasa za nchi zingine, kiherehere na uroho wa maliasili na rasilimali za nchi zingine zinawatokea puani...
 
Back
Top Bottom