Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,115
- 10,822
Ubalozi wa Marekani nchini Iraq nchi ambayo Marekani imekuwepo kijeshi kwa muda mrefu tangu walipompindua Saddam Hussein umechomwa moto na waandamanaji wenye mrengo wa kuiunga mkono Iran. Hii inafuatia hapo juzi kushambuliwa kwa kambi za wanamgambo huo na kuuliwa wapiganaji wasiopungua 25.
Katika mashambulizi hayo ya juzi Marekani ilijigamba kushambulia Iraq na Syria kwa wapiganaji wenye kuiunga Iran. Hii ilitokana na shambulizi siku mbili kabla lililomuuwa mkandarasi wa kimarekani nchini humo.
Katika mashambulizi hayo ya juzi Marekani ilijigamba kushambulia Iraq na Syria kwa wapiganaji wenye kuiunga Iran. Hii ilitokana na shambulizi siku mbili kabla lililomuuwa mkandarasi wa kimarekani nchini humo.