Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
Ukipewa tafadhali chukua hatua mwenyewe, sasa ndani kwako mpaka mtu mwingine akuelekeñze hatua jamani huo ni uzembe kabisaKutoa tahadhari ni jambo moja, lkn mbona hawaelekezi hatua za kuchukua katika maeneo husikaa?
binafsi nitawasifu wamarekani pale watakapotoa tahadhari kabla ya kutokea mass shooting(s) nchini kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app