Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam watoa tahadhari ya kiusalama kwa raia wake kufuatia matishio ya Iran

Sasa ulitaka wahamishie ugomvi wao kwenye nchi yetu, waache wapiganie huko huko, huku watatuua na sisi tusiohusika
Wa Iran wao hawajali hilo, watamlenga Mmarekani mmoja katikati ya Watanzania mia moja, alafu watashangilia kumuua huyo Mmarekani hata kama ataangamia yeye na Wabongo 50.
 
Dunia nzima wanajua Iran inapotishia kulipiza kisasi sio kwamba wataenda kushambulia Marekani, hata al shababu watapiga kazi Mzee baba.
 
Ajabu kabisa kuna mtu yuko Jf na hajui hili tangazo linatuathiri vp, yaan anashindwa kuelewa kua hata kwenye sector ya Utalii tu kutaathirika maana hakuna mgeni anataka aende mahala ambako kuna waswas wa kiusalama? Yaani fikiria namna Wamarekani tu waliokua wamepanga kuja Tz siku za karibuni watakavyo cancel booking zao kutokana na hili tangazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yameanza kufukuta japo nina wasiwasi na hawa jamaa kutumia hii sababu kutuvurugia mambo yetu kama Taifa.

======

Location: Tanzania

Event: Heightened Middle East Tensions

There is heightened tension in the Middle East that may result in security risks to U.S. citizens abroad.

The Embassy will continue to review the security situation and will provide additional information as needed.

Actions to Take:

  • Keep a low profile.
  • Be aware of your surroundings.
  • Stay alert in locations frequented by tourists
  • Review your personal security plans.
  • Have travel documents up to date and easily accessible.

Assistance:



View attachment 1313937

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimsingi hii tahadhari imetolewa sehemu nyingi nasiyo Tanzania tu. Kenya ndiyo kabisaa... vikosi vya wana usalama vimeongezeka mara dufu mtaani. Hili la Tanzania ni cha mtoto tu.
 
Ajabu kabisa kuna mtu yuko Jf na hajui hili tangazo linatuathiri vp, yaan anashindwa kuelewa kua hata kwenye sector ya Utalii tu kutaathirika maana hakuna mgeni anataka aende mahala ambako kuna waswas wa kiusalama? Yaani fikiria namna Wamarekani tu waliokua wamepanga kuja Tz siku za karibuni watakavyo cancel booking zao kutokana na hili tangazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tahadhari siyo Bongo pekee. Nchi nyingi sehemu zenye maslahi ya mmarekani zimeimarishwa ulinzi. Hata zile nchi za Ulaya ambazo hazina chokochoko nyingi wameimarisha ulinzi na kuna tahadhari.
 
Natamani balozi zetu zingekuwa zinafuatilia usalama wa raia wake kiasi hiki.
 
Ajabu kabisa kuna mtu yuko Jf na hajui hili tangazo linatuathiri vp, yaan anashindwa kuelewa kua hata kwenye sector ya Utalii tu kutaathirika maana hakuna mgeni anataka aende mahala ambako kuna waswas wa kiusalama? Yaani fikiria namna Wamarekani tu waliokua wamepanga kuja Tz siku za karibuni watakavyo cancel booking zao kutokana na hili tangazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Actually, they will be safer in Tanzania than the US!
Acha kupotosha watu. Hilo tangazo ni standard procedure. Limetolewa nchi zote zenye Ubalozi wa Marekani. Unataka kusema watalii na wafanyabiashara wataacha kwenda kwenye nchi zote hizo kwa sababu ya hilo tangazo?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom