Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.
Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa.
Katika taarifa yao Ubalozi wamesema walipokuwa wakipata malalamiko na kuwasiliana na uongozi wa MeTL wamekuwa wakipata majibu yasiyo na staha.
Katika taarifa yao waliyoandika Facebook wamesema kumekuwa na vishawishi wafute ‘post’ hiyo lakini kwa kuheshimu utu wa wahindi wamesema hawatafuta.
==
PIA, SOMA=> Ubalozi wa India wazungumza na Mo Dewji
Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa.
Katika taarifa yao Ubalozi wamesema walipokuwa wakipata malalamiko na kuwasiliana na uongozi wa MeTL wamekuwa wakipata majibu yasiyo na staha.
Katika taarifa yao waliyoandika Facebook wamesema kumekuwa na vishawishi wafute ‘post’ hiyo lakini kwa kuheshimu utu wa wahindi wamesema hawatafuta.
==
PIA, SOMA=> Ubalozi wa India wazungumza na Mo Dewji