Ubakaji...?!!

Mkeshahoi,
Inategemea tafsiri ya kisheria kuhusu ubakaji. Wengine wanasema ni mtu "kumwingilia" mwingine bila ridhaa. naamini mwanamke kwa "biological features" hawezi kumwingilia mwanaume. GONGA HAPA
 
na anapokuvamia chumbani kwako akikushawishi umtimizie ze nidful na wewe hutaki.... ukigoma anatishia kupiga kelele na kurarua kivazi chake. utaitaje khali hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom