New Force 2015
Member
- Oct 25, 2013
- 63
- 262
Tukiwa bado tunamlalamikia Pro. Kapuya kutokukamatwa kwa tuhuma za Ubakaji na kutishia kuua, Igunga Mwalimu amembaka Mwanafunzi na kumpa mimba, kesi ilifunguliwa katika Kituo cha Polisi Igunga jalada RB IG/1430/2013 lakini Mkuu wa Kituo amemtorosha jamaa na kuambulia kitita cha Milioni 3.5 na kumruhusu jamaa asepe. Tutabakwa sana, tutatishiwa sana, wabakaji wataendelea kujisifu na Polisi wataendelea kuwanusuru. Nalia akina Mama mko wapi? Tamwa, UWT, BAWACHA, TGNP, LHRC, msiogope vitisho saidini hali ni mbaya!