Ubaguzi wa walimu wasio wazawa wazidi kushamiri idara ya elimu sekondari Bukoba.

Feb 8, 2012
92
8
Tukiwa tunaelekea siku ya kupinga vitendo vya ubaguzi duniani,hali bado ni mbaya katika idara ya elimu ya sekondari manispaa ya Bukoba.Afisa elimu sekondari wa manispaa,afisa taaluma pamoja na baadhi ya wakuu wa shule waendeleza ubaguzi,upendeleo na ukabila katika kuwahudumia walimu walioajiriwa katika manispaa ya Bukoba.Ubaguzi huu uko wazi wazi kwani Afisa elimu anadiriki kuwateua walimu anaotoka nao kijiji kimoja,kabila moja au anaosoma nao pamoja Open University kila katika fursa yenye malipo:iwe semina,kusimamia mitihani ya kitaifa na hata kusahihisha mitihani hiyo.Huku walimu wasiokuwa na uhusiano wa kikabila,kimaeneo na hata kidini wakiachwa bila kuteuliwa kufanya shughuli mbalimbali zinazoongeza kipato.Hali hii imewafanya walimu wanaobaguliwa kukata tamaa kabisa ya kufanya kazi.Wengi wao wanafikiria kuhama au kuacha kazi hii ya ualimu.Walimu wanaoteuliwa kwa sababu ya ukabila,undugu kutoka kijiji kimoja hamna hata siku moja waliokosa kuteuliwa kufanya shughuli hizo maalum yaani kusimamia mitihani,semina na kwenda kusahihisha mitihani.Sidhani hii ndo ile Tanzania aliyoitaka hayati Baba wa Taifa Mwalimu JK Nyerere.Sielewi kwanini viongozi wanafumbia macho hali hii ovu ya ubaguzi unaokwenda kinyume na katiba ya nchi yetu.
 
Tukiwa tunaelekea siku ya kupinga vitendo vya ubaguzi duniani,hali bado ni mbaya katika idara ya elimu ya sekondari manispaa ya Bukoba.Afisa elimu sekondari wa manispaa,afisa taaluma pamoja na baadhi ya wakuu wa shule waendeleza ubaguzi,upendeleo na ukabila katika kuwahudumia walimu walioajiriwa katika manispaa ya Bukoba.Ubaguzi huu uko wazi wazi kwani Afisa elimu anadiriki kuwateua walimu anaotoka nao kijiji kimoja,kabila moja au anaosoma nao pamoja Open University kila katika fursa yenye malipo:iwe semina,kusimamia mitihani ya kitaifa na hata kusahihisha mitihani hiyo.Huku walimu wasiokuwa na uhusiano wa kikabila,kimaeneo na hata kidini wakiachwa bila kuteuliwa kufanya shughuli mbalimbali zinazoongeza kipato.Hali hii imewafanya walimu wanaobaguliwa kukata tamaa kabisa ya kufanya kazi.Wengi wao wanafikiria kuhama au kuacha kazi hii ya ualimu.Walimu wanaoteuliwa kwa sababu ya ukabila,undugu kutoka kijiji kimoja hamna hata siku moja waliokosa kuteuliwa kufanya shughuli hizo maalum yaani kusimamia mitihani,semina na kwenda kusahihisha mitihani.Sidhani hii ndo ile Tanzania aliyoitaka hayati Baba wa Taifa Mwalimu JK Nyerere.Sielewi kwanini viongozi wanafumbia macho hali hii ovu ya ubaguzi unaokwenda kinyume na katiba ya nchi yetu.

Tupe majina ya Maafisa Elimu hao hapa tuyafanyie kazi na tukupe CV zao pia humu humu. Usimfiche mtu muovu, hatuhitaji watu kama hao Tanzania ya Slaa from 2015!
 
mnawaonea wahaya,ndo walivo,hiyo ndo nature yao,kuibadili n ngumu,fanya utaratibu uhamie ktk sehemu yenye watu wa kawaida
 
Nasikia sababu za ukabila ndio maana hata Kagera Sugar haiendelei. Wanaisusa timu kwa kuwa haiwapi wazawa (Wahaya ) kipaumbele. UKABILA UTAISHA LINI TZ!!!
 
Nasikia sababu za ukabila ndio maana hata Kagera Sugar haiendelei. Wanaisusa timu kwa kuwa haiwapi wazawa (Wahaya ) kipaumbele. UKABILA UTAISHA LINI TZ!!!
Sio TZ,sema kagera kwa wahaya
 
its their nature, nature must obey necessity. Mi nilipangwa Karagwe kwa Wanyambo. Mkuu wa PHYSICS dept akawa mwl wa Civics nikaacha kazi.
 
Back
Top Bottom