kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,421
Sina la kusema ila hali ni mbaya sana kwa wenzetu walioko ughaibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako sahihi kabisa! Kama hawako sahihi tunaweza kuwaprove kwa lipi kuwa wako wrong?
Wanafanyiana mzaha wenyewe inakukera Nini? Uliyeingia kwenye mitandao yao ndio yamekuchoma, ukiingia msikitini wakakuita khafir usikasirike umeyatafuta mwenyeweSina la kusema ila hali ni mbaya sana kwa wenzetu walioko ughaibuniView attachment 1417290View attachment 1417291
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka chupi uliyovaa imeshonwa china, utakuwa umefanya Jambo la kijingaHivi tukiwaangushia kisago baba zao wanaofanya kazi huku tukawafukuza maana sasa huu upuuzi kabisa
Wachina ni ndugu zetu wa damu, tuwavumilie wafanye watakavyo, tusithubutu kulipiza kisasi kwa ni tutalaanika.Sina la kusema ila hali ni mbaya sana kwa wenzetu walioko ughaibuniView attachment 1417290View attachment 1417291
Sent using Jamii Forums mobile app