Nina uhakika wapo wenzetu wenye uzoefu na hii kitu (racism) hasa walioishi ughaibuni more than 10 years watusadie ma-new comer jinsi ya kuwakabili hawa wenzetu maana naona soon uzalendo utanishinda nimtwange ngumi mzungu na kufukuzwa huku wakati sijamaliza kilichonileta.
Naomba mtupe ujuzi huwa mnafanyaje mkizinguliwa na hawa watu kwa sababu ya uafrika wako mpaka kufikia kukaa more than 10 years ughaibuni? Unaweza tupa mifano ya ishu ulizokumbana nazo na jinsi ulitatua au potezea hilo tatizo, itatusaidia sana.
Natanguliza shukrani za dhati!
Naomba mtupe ujuzi huwa mnafanyaje mkizinguliwa na hawa watu kwa sababu ya uafrika wako mpaka kufikia kukaa more than 10 years ughaibuni? Unaweza tupa mifano ya ishu ulizokumbana nazo na jinsi ulitatua au potezea hilo tatizo, itatusaidia sana.
Natanguliza shukrani za dhati!