ubaguzi huu ni yale maeneo chadema iliyoshinda au yale ccm iliyoshinda au zanzibar ambapo chadema wamepata kura ndogo?WASWAHILI WANASEMA UKICHEZEA MPIRA UKUTANI UTAKURUDIA
Mkuu ni ulikuwa ni ule mwendelezo wa kipropaganda kuhusisha chama fulani na watu wa eneo fulani. Ni zile kauli za siku zote kuwa CDM ni chama cha WAchagga na wakristo, ila this time CDM proved them wrong na hiyo hoja imekosa mashiko wamebakiza ya hoja ya udini, ila watanzani si wepesi kudanganyiaka kama CCM wanavyofikiri. Huku mtaani kwetu diwani wa CCM alisambaza picha zake kila kona akifikiri watu wanchagua sura kumbe watu wanachagua sera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.