Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,272
- 2,419
Sio kweli...hizo ni propaganda za watu tu ambao hawaitakii mema ccm. By z way jpm hawez kuteua wasomi wote sasa eti ili tu kubalance upande flani. Na huwa aangaliii dini ya mtu wala kabila au anatoka wapi maana hawaendi kufanya kazi za kidini/ wala za kimila serikalin...yy anamteua mtu kutokana na sifa na vigezo linganinshi na kazi ambayo anaenda kuifnya...tuache kuwa watu wa kupayuka tu bila kuwa na ufahamu mzur wa mambo.
Kwahiyo kada mwenzetu Kinana alipotoka