usiambini
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 627
- 558
Ubaguzi wa serikali kwa watu wake haukubaliki.Na pia baina ya watu na watu halikubaliki.Ila la watu na watu ni jambo la kusadikika.Kila nchi mara nyingi lipo.Mfano kanda ya ziwa labda na pande za kusini ama wachaga na makabila mengine .Ila haihalalishi Raisi Magufuli serikali yake ifanye upendeleo.Vivyo hivyo kwa nchi nyengine ubaguzi wa watu kwa watu ama kabila kwa kabila hailalishi na serikali iwe hivyo.Kwaiyo ubaguzi au sio ubaguzi mkuu?