Mwl wa akiba
Member
- Nov 12, 2020
- 66
- 66
Ukweli mchungu ni kwamba wametumia miaka mingi sana kulinda kizazi chao mila na desturi zao hivyo hawawezi kukubali ziharibike au kuingiliwa kirahisi hivyo.
Ndio maana hata wazungu wazee wanalalamika sana kitendo cha sisi kuingilia jamii zao maana hapo badae italeta shida sana
Just imagine mzaramo na mmarekani hichi kizazi huko mbeleni kinakuwaje ?
Kwa Maslahi mapana ya dunia yetu acha wajitenge tu hivyo hivyo tu.
Ndio maana hata wazungu wazee wanalalamika sana kitendo cha sisi kuingilia jamii zao maana hapo badae italeta shida sana
Just imagine mzaramo na mmarekani hichi kizazi huko mbeleni kinakuwaje ?
Kwa Maslahi mapana ya dunia yetu acha wajitenge tu hivyo hivyo tu.