Ubaguzi huu wa kielimu ni wivu baada ya shule za serikali kukimbiwa, tutazalisha vilaza (gvnt school) badala ya vichwa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Nachokiona katika kauli ya magufuli ni wazi kuwa ana wivu wa kimaskini sana. Na anakomoa na visasi juu.

Wakati yeye anasoma shule za serikali zilikuwa kimbilio la wanafunzi na zilikuwa na heshima. Enzi zile darasa la saba tulikuwa tukifaulu katika shule yenye wanafunzi 100 hawazidi 5 wanaofaulu ila virse versa kwa sasa.

Na ilikuwa ni aibu na fedheha kwa mzazi kumpeleka mwanafunzi shule ya private na tuliziita shule za vilaza, yaani waliofeli ndio lilikuwa kimbilio lao.

Elimu imevurugwa sana hasa na ccm wenyewe kwa maslai binafsi ya kisiasa tukianza na awamu ya Mkapa na Kikwete kila waziri anakuja na mtaala wake na vitabu vinabadilishwa.

Hawahawa ccm waliambiwa juu ya hili ili wapinzani hasa Mbatia alionekana katumwa na mtu asiyetaka maendeleo. (Mama Tanzania)

Jana magufuli kasema elimu iko juu na mbaya akasema walio private school wasahau mkopo (kodi yake mtanzania huyohuyo.

Huu wivu wa kutaka kufanya shule za serikali zikubalike kwa kigezo cha mkopo tunatengeneza janga lingine la vilaza na kutokuwa na ushindani wa elimu.

Katika shule bora 100 serikali inashule 10 tu, iv hapa lengo ni kuzalisha vichwa au vilaza.

Huu wivu unajenga nchi au unabomoa, tukiondoa shule binafsi serikali ina uwezo wa kusomesha wanafunzi wote?
 
nani anakuonea wivu wewe Popoma? bajeti hairuhusu, kindergarten mnalipa hadi 3mil kwa mtoto kwenda baby care kunywa uji, kwa Chuoni mnakosa 1mil si udwanz huu, lakini Rais kasema kama kuna sababu ya msingi MKOPO watapata,...vichwa vitaendelea kuwepo, hamna cha WIVU HAPO
 
Nachokiona katika kauli ya magufuli ni wazi kuwa ana wivu wa kimaskini sana. Na anakomoa na visasi juu.

Wakati yeye anasoma shule za serikali zilikuwa kimbilio la wanafunzi na zilikuwa na heshima. Enzi zile darasa la saba tulikuwa tukifaulu katika shule yenye wanafunzi 100 hawazidi 5 wanaofaulu ila virse versa kwa sasa.

Na ilikuwa ni aibu na fedheha kwa mzazi kumpeleka mwanafunzi shule ya private na tuliziita shule za vilaza, yaani waliofeli ndio lilikuwa kimbilio lao.

Elimu imevurugwa sana hasa na ccm wenyewe kwa maslai binafsi ya kisiasa tukianza na awamu ya Mkapa na Kikwete kila waziri anakuja na mtaala wake na vitabu vinabadilishwa.

Hawahawa ccm waliambiwa juu ya hili ili wapinzani hasa Mbatia alionekana katumwa na mtu asiyetaka maendeleo. (Mama Tanzania)

Jana magufuli kasema elimu iko juu na mbaya akasema walio private school wasahau mkopo (kodi yake mtanzania huyohuyo.

Huu wivu wa kutaka kufanya shule za serikali zikubalike kwa kigezo cha mkopo tunatengeneza janga lingine la vilaza na kutokuwa na ushindani wa elimu.

Katika shule bora 100 serikali inashule 10 tu, iv hapa lengo ni kuzalisha vichwa au vilaza.

Huu wivu unajenga nchi au unabomoa, tukiondoa shule binafsi serikali ina uwezo wa kusomesha wanafunzi wote?


Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!
 
Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!

Nyie naona mnafata ule msemo ukiona elimu ghali jaribu ujinga ndio kinachofanyika sasa kwa awamu hii. Ivi mshahara uleule mwaka wa nne mnatarajia mwalimu afundishe huku ana njaa
 
hata hili mnalaumu,mbona ni simple logic tu.

unawezaje kulipa ada mili 1.5 kwa secondari kwa mwaka uje ushindwe chuo???

mimi nadhani muda wa kutumia akili kwa kila jamb umefika.
 
Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!

Nyie naona mnafata ule msemo ukiona elimu ghali jaribu ujinga ndio kinachofanyika sasa kwa awamu hii. Ivi mshahara uleule mwaka wa nne mnatarajia mwalimu afundishe huku ana njaa
 
Nachokiona katika kauli ya magufuli ni wazi kuwa ana wivu wa kimaskini sana. Na anakomoa na visasi juu.

Wakati yeye anasoma shule za serikali zilikuwa kimbilio la wanafunzi na zilikuwa na heshima. Enzi zile darasa la saba tulikuwa tukifaulu katika shule yenye wanafunzi 100 hawazidi 5 wanaofaulu ila virse versa kwa sasa.

Na ilikuwa ni aibu na fedheha kwa mzazi kumpeleka mwanafunzi shule ya private na tuliziita shule za vilaza, yaani waliofeli ndio lilikuwa kimbilio lao.

Elimu imevurugwa sana hasa na ccm wenyewe kwa maslai binafsi ya kisiasa tukianza na awamu ya Mkapa na Kikwete kila waziri anakuja na mtaala wake na vitabu vinabadilishwa.

Hawahawa ccm waliambiwa juu ya hili ili wapinzani hasa Mbatia alionekana katumwa na mtu asiyetaka maendeleo. (Mama Tanzania)

Jana magufuli kasema elimu iko juu na mbaya akasema walio private school wasahau mkopo (kodi yake mtanzania huyohuyo.

Huu wivu wa kutaka kufanya shule za serikali zikubalike kwa kigezo cha mkopo tunatengeneza janga lingine la vilaza na kutokuwa na ushindani wa elimu.

Katika shule bora 100 serikali inashule 10 tu, iv hapa lengo ni kuzalisha vichwa au vilaza.

Huu wivu unajenga nchi au unabomoa, tukiondoa shule binafsi serikali ina uwezo wa kusomesha wanafunzi wote?
Badala ya kuona shule binafsi kama wabia tunataka kishindana nao
 
nani anakuonea wivu wewe Popoma? bajeti hairuhusu, kindergarten mnalipa hadi 3mil kwa mtoto kwenda baby care kunywa uji, kwa Chuoni mnakosa 1mil si udwanz huu, lakini Rais kasema kama kuna sababu ya msingi MKOPO watapata,...vichwa vitaendelea kuwepo, hamna cha WIVU HAPO
Kinachopigiwa kelele ni ubaguzi...uwezo wa mtu uachwe ubaki pale pale na si kweli kwamba wote wanaojiunga na vyuo wanaomba mikopo. Lakini waachwe wanaotaka mikopo wapimwe kwa ufaulu wao na si aliesoma private kupewa mkopo ionekane ni ukichaa!!!
Mengine ni wazi kutokubalika. Ukiona katika watu 100 unapata support ya watu 5 au 10 ujue hauko sawa sawa, tafakari na badilisha kauli.
 
Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!
The best approach ni kuimprove shule za umma ziwe bora kuliko za binafsi ili watu waje wenyewe kama enzi zetu na automatically first choice itakuwa umma watakaokosa ndo wanaenda binafsi. Kuny ima mikopo sidhani kama ni best approach kwani hii pesa ni ya walipa kodi wote yaani watanzania. Basi iwe serikali ikileta maji au umeme wake Iwape Masikini kwanza ili matajiri wanunue solar na generators.Masikini wanatakiwa kapewa grants na wenye hela wakopeshwe.South Africa na Botswana the best schools ni za umma.
 
The best approach ni kuimprove shule za umma ziwe bora kuliko za binafsi ili watu waje wenyewe kama enzi zetu na automatically first choice itakuwa umma watakaokosa ndo wanaenda binafsi. Kuny ima mikopo sidhani kama ni best approach kwani hii pesa ni ya walipa kodi wote yaani watanzania. Basi iwe serikali ikileta maji au umeme wake Iwape Masikini kwanza ili matajiri wanunue solar na generators.Masikini wanatakiwa kapewa grants na wenye hela wakopeshwe.South Africa na Botswana the best schools ni za umma.


Hilo haliwezkani hiyo ndo hoja mfu ya watu wabinafsi wanaopenda kujenga madaraja Tanzania, Serikali inawezaje kushindana na Wafanyabiashara ambao wanatoza mamilioni ya fedha kama ada na michango mingine?
Serikali inatoa Elimu bure au karibia bure na haibagui inachukuwa mtoto yoyote yule, inawezaje kushindana na mtu ambaye anatoza milioni 10 kwa kichwa cha mtoto na hapo hapo anachagua mtoto yupi asome na yupi asisome?
 
Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!
Then kwanini kila matokeo ya kitaifa yakitoka ni shule za private zinaongoza kama shule za gov kweli ziko vizur?
 
Then kwanini kila matokeo ya kitaifa yakitoka ni shule za private zinaongoza kama shule za gov kweli ziko vizur?


Hakuna mahali niliposema Shule za Serikali zipo vizuri, isitoshe Shule binafsi wanachagua watoto wakati Serikali kila Mtanzania anaweza kusoma!"
 
Mkuu MAZWAZWA ni mtaji mkubwa wa hili genge la wahuni hivyo watafanya kila wawezalo kuhakikisha Tanzania inakuwa nchi ya MAZWAZWA kuliko nchi yoyote ile duniani ili waendelee kung’ang’ania madaraka. Ni rahisi mno kulidanganya ZWAZWA kuliko yule aliyeelimika.

Nachokiona katika kauli ya magufuli ni wazi kuwa ana wivu wa kimaskini sana. Na anakomoa na visasi juu.

Wakati yeye anasoma shule za serikali zilikuwa kimbilio la wanafunzi na zilikuwa na heshima. Enzi zile darasa la saba tulikuwa tukifaulu katika shule yenye wanafunzi 100 hawazidi 5 wanaofaulu ila virse versa kwa sasa.

Na ilikuwa ni aibu na fedheha kwa mzazi kumpeleka mwanafunzi shule ya private na tuliziita shule za vilaza, yaani waliofeli ndio lilikuwa kimbilio lao.

Elimu imevurugwa sana hasa na ccm wenyewe kwa maslai binafsi ya kisiasa tukianza na awamu ya Mkapa na Kikwete kila waziri anakuja na mtaala wake na vitabu vinabadilishwa.

Hawahawa ccm waliambiwa juu ya hili ili wapinzani hasa Mbatia alionekana katumwa na mtu asiyetaka maendeleo. (Mama Tanzania)

Jana magufuli kasema elimu iko juu na mbaya akasema walio private school wasahau mkopo (kodi yake mtanzania huyohuyo.

Huu wivu wa kutaka kufanya shule za serikali zikubalike kwa kigezo cha mkopo tunatengeneza janga lingine la vilaza na kutokuwa na ushindani wa elimu.

Katika shule bora 100 serikali inashule 10 tu, iv hapa lengo ni kuzalisha vichwa au vilaza.

Huu wivu unajenga nchi au unabomoa, tukiondoa shule binafsi serikali ina uwezo wa kusomesha wanafunzi wote?
 
nani anakuonea wivu wewe Popoma? bajeti hairuhusu, kindergarten mnalipa hadi 3mil kwa mtoto kwenda baby care kunywa uji, kwa Chuoni mnakosa 1mil si udwanz huu, lakini Rais kasema kama kuna sababu ya msingi MKOPO watapata,...vichwa vitaendelea kuwepo, hamna cha WIVU HAPO

Kwa hiyo wewe unaona WIVU mtoto wa mwenzio kunywa uji wa 3M kindergarten??
Kama unataka uji nenda hizo shule za private ukadoee!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Cha kustaajabisha pamoja na kuzipiga vita shule binafsi watoto wa the so called Viongozi wote wanasoma kwenye shule binafsi au nchi za nje hawatii mguu kwenye shule za Serikali.

Nachokiona katika kauli ya magufuli ni wazi kuwa ana wivu wa kimaskini sana. Na anakomoa na visasi juu.

Wakati yeye anasoma shule za serikali zilikuwa kimbilio la wanafunzi na zilikuwa na heshima. Enzi zile darasa la saba tulikuwa tukifaulu katika shule yenye wanafunzi 100 hawazidi 5 wanaofaulu ila virse versa kwa sasa.

Na ilikuwa ni aibu na fedheha kwa mzazi kumpeleka mwanafunzi shule ya private na tuliziita shule za vilaza, yaani waliofeli ndio lilikuwa kimbilio lao.

Elimu imevurugwa sana hasa na ccm wenyewe kwa maslai binafsi ya kisiasa tukianza na awamu ya Mkapa na Kikwete kila waziri anakuja na mtaala wake na vitabu vinabadilishwa.

Hawahawa ccm waliambiwa juu ya hili ili wapinzani hasa Mbatia alionekana katumwa na mtu asiyetaka maendeleo. (Mama Tanzania)

Jana magufuli kasema elimu iko juu na mbaya akasema walio private school wasahau mkopo (kodi yake mtanzania huyohuyo.

Huu wivu wa kutaka kufanya shule za serikali zikubalike kwa kigezo cha mkopo tunatengeneza janga lingine la vilaza na kutokuwa na ushindani wa elimu.

Katika shule bora 100 serikali inashule 10 tu, iv hapa lengo ni kuzalisha vichwa au vilaza.

Huu wivu unajenga nchi au unabomoa, tukiondoa shule binafsi serikali ina uwezo wa kusomesha wanafunzi wote?
 
Acha kuongopa, Shule za Serikali zilikuwa kimbilio kwa sababu ndizo zilizokuwepo, kulikuwa hakuna soko huria la Elimu kama leo hii, Shule pekee za binafsi zilizopkuwepo ni za kidini au Wazazi lkn hazikuwa za Kibiashara kama leo hii, mtu anakwenda kuchukuwa mkopo anaanzisha Shule ili arudishe mkopo na kupata faida, hilo halikuwepo!

Sasa hutaki watu wachangamkie fursa?
Chimbuko LA kuzaliwa na kushamiri shule hizo ni nini???
Serikali iboreshe hizo shule tutaleta watoto wetu kwa hiari bila mikwara ya ada ya chuo.
After all hizo shule za kata tumejenga wote kwa kuchangishana.
Wengine hatuwaleti kwa kuogopa viboko, waalim wanapata mawazo wanachapa hamsa ishirini mkoloni cha mtoto.
Vyoo vibovu, matundu mawili wanafunzi 200, UTI na magonjwa ya kuhara nje nje.
Madarasa vumbi kukohoa Mara sitini na name kwa week. Nyie somesheni huko, tukutane university ndg.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa hutaki watu wachangamkie fursa?
Chimbuko LA kuzaliwa na kushamiri shule hizo ni nini???
Serikali iboreshe hizo shule tutaleta watoto wetu kwa hiari bila mikwara ya ada ya chuo.
After all hizo shule za kata tumejenga wote kwa kuchangishana.
Wengine hatuwaleti kwa kuogopa viboko, waalim wanapata mawazo wanachapa hamsa ishirini mkoloni cha mtoto.
Vyoo vibovu, matundu mawili wanafunzi 200, UTI na magonjwa ya kuhara nje nje.
Madarasa vumbi kukohoa Mara sitini na name kwa week. Nyie somesheni huko, tukutane university ndg.


Serikali haiwezi kushindana na Shule za Binafsi kwa sababu ambazo nimeshazitaja hapo juu, hivyo basi kwa kuwa watoto wa matajiri wanaweza kujilipia Shule binafsi basi pia Serikali haina budi kuwapa upendeleo watoto wa masikini, ili kutoa usawa huko mbele ya safari vinginevyo watoto wa masikini hawataweza kushindana kwenye ajira!
 
Back
Top Bottom