zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Katika Mikoa tofauti na hekaheka za kisiasa za CHADEMA kumetokea vifo viwili ambavyo vyote vimehusishwa na Polisi kwa njia moja au nyingine.
Vifo hivyo ni vya watu wenye fani zinazotegemeana, mmoja ni Mwandishi wa habari za magazetini na mmoja ni muuza magazeti. Wote hao ni wadau wakuu wa magazeti na wote hao ni wapenzi wa Chadema.
Cha kushangaza ni pale tunapoona mmoja kapata kila aina ya huruma kuanzia viongozi wa chadema mpaka wanaharakati wa hakiza binaada na "exposure" iliyotukuka kwenye TV, magazeti, maandamano, wana harakati, michango ya maziko, michango kwa aliowaacha, ahadi za kutazamwa familia yake na hata kusomeshwa wanawe na mwingine akisahauliwa kabisa.
Tumeona maziko ya mmoja ya kiongozwa na Viongozi wa Kitaifa wa chadema na kurushwa kwenye magazeti na kwenye mitandao, mwengine yule sijui hata kama alijulikana kazikwa wapi.
Watu hao ni:
Ally Singano - Muuza Magazeti
Daudi Mwangosi- Mwandishi wa magazeti.
Jee, ni Ubaguzi au Maslahi ya Kisiasa?
Vifo hivyo ni vya watu wenye fani zinazotegemeana, mmoja ni Mwandishi wa habari za magazetini na mmoja ni muuza magazeti. Wote hao ni wadau wakuu wa magazeti na wote hao ni wapenzi wa Chadema.
Cha kushangaza ni pale tunapoona mmoja kapata kila aina ya huruma kuanzia viongozi wa chadema mpaka wanaharakati wa hakiza binaada na "exposure" iliyotukuka kwenye TV, magazeti, maandamano, wana harakati, michango ya maziko, michango kwa aliowaacha, ahadi za kutazamwa familia yake na hata kusomeshwa wanawe na mwingine akisahauliwa kabisa.
Tumeona maziko ya mmoja ya kiongozwa na Viongozi wa Kitaifa wa chadema na kurushwa kwenye magazeti na kwenye mitandao, mwengine yule sijui hata kama alijulikana kazikwa wapi.
Watu hao ni:
Ally Singano - Muuza Magazeti
Daudi Mwangosi- Mwandishi wa magazeti.
Jee, ni Ubaguzi au Maslahi ya Kisiasa?