Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
We upo dar unataka kuikomboa Usangi. Ile barabara ya Lami inayojengwa kutoka Mwanga to Usangi na ugweno, vipi kuhusu ujenzi wa shule, wilaya moja ina shule za A level tano. Hayo sio maendeleo? Vipi yale mabwawa ( ndiva ) yaliyojengwa mf. Mbakwe, kiriki n.k kwa ajili ya kilimo hamyaoni? Vipi maendeleo ya chuo cha ufundi UVTC. Tuna mpango kukipandisha hadhi kitoe Diploma ili baadae kitoe digrii. Vipi Hospitali ya wilaya Usangi na Zahanati kila kijiji, hilo hamlioni? Tatizo vijana mnawaza uongozi tu. Pia jifunze majukumu ya mbunge na DED. Pia fanya research kabla ya kupresent hoja yako.