COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Timu ya ukaguzi maalumu kutoka Wizara ya Afya imegundundua ubadhirifu huo wa dawa na vifaa tiba kutoka hospitali hizo za rufaa za mikoa kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia Kula 2019 hadi Desemba 2020. Hayo yametangazwa leo na Waziri wa Afya Dr Dorothy Gwajima wakati akitoa taarifa ya uchuguzi huo uliotokana na malalamiko ya wananchi ya kukosa dawa mara kwa mara kila wakienda kutibiwa kwenye hospitali hizo. Taarifa kamili soma kiambatanisho hapo chini