Ubadhirifu wa dawa zenye thamani ya Tshs 26.7 billioni wabainika kwenye Hospitali za Rufaa za mikoa 28 Tanzania bara

Timu ya ukaguzi maalumu kutoka Wizara ya Afya imegundundua ubadhirifu huo wa dawa na vifaa tiba kutoka hospitali hizo za rufaa za mikoa kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia Kula 2019 hadi Desemba 2020....
Yafaa serikali kuwatambua wahusika na kuwaburuza kwenye vyombo vya sheria baada ya serikali yenyewe kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi. Vinginevyo itakua ujinga hii hadithi ya huduma ya afya kwa umma. Si siri dawa na vifaa vingi vya afya vinaibiwa na kuuziwa maduka binafsi.

Maduka binafsi mengi yanategemea kama supplier serikali kwa dawa na vifaa vinavyoibiwa serikalini. Mtu anapata kazi ya kudumu halafu anakua kama mwekezaji serikali bila kuwekeza kitu kwa kujipatia faida kubwa kwa kuuza dawa na vifaa vya afya mali ya serikali.

Huu ni wazimu lazima ukomeshwe.
 
Timu ya ukaguzi maalumu kutoka Wizara ya Afya imegundundua ubadhirifu huo wa dawa na vifaa tiba kutoka hospitali hizo za rufaa za mikoa kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia Kula 2019 hadi Desemba 2020...
Hii ripoti inanikumbusha hospitals za sekoture Mwanza,mawenzi kilimanjaro ma mount meru arusha.
 
Mmekalia majungu badala ya kufanya kazi, pharmacy zimeajiri watz wangapi? pesa zinapigwa kwenye miradi mikubwa huko hamsemi mnang'an'gana na kopo la paracetamol la shilingi elf 7 jamani!
Well said my friend!!

Badala ya kuangalia in totality kuhusu maeneo ambayo yamekithiri kwa upotevu wa dawa za wananchi Waziri wa Afya ana-dwell vituo vya afya na pharmacies tuu!!!

Siku nyuma kidogo kuna mzalendo alijitahidi sana kumshauli Mh. Waziri wa afya hebu aione taasisi ya Bohari ya Dawa MSD kwa macho mapana.

Hii taasisi ya MSS ni mojawapo ya taasisi zilizochangia sana kwenye suala la upotevu na uharibifu wa dawaza wananchi. Kutokana na ununuzi mbovu na holela wa dawa pale MSD dawa nyingi zimekuwa zikiharibiwa na kuoza bada ya kuisha muda wake wa matumizi. Hii blanda ilishamiri sana wakati wa Mkurugenzi Mkuu waliyeondolewa akishirikiana na baadhi ya wandani wake hasa Victoria Mwanri Elangwa ambae alipewa nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Tenda ya Manunuzi. Hebu Waziri omba ripoti za ukaguzi uliowai kufanywa pale MSD ili ujionee madudu na sio kuhangaika saana na vituo vya afya.

Mh. Waziri wa afya hebu fuatilia utendaji wa taasisi ya MSD ambapo sasa hivi kuna wimbi la kuwahamisha watumishi kwa kuwaondoa waliokuwepo na kuwapeleka kwenye taasisi zingine kwa kile kinachoitwa DG mpya kupanga safu yake😆😆😆.

Kuna kijana mmoja hivi kapewa nafasi ya kukaimu ukurugenzi wa manunuzi wakati; hajasomea hiyo fani, hajawai kufanya hiyo kazi na hana cheti chochote cha ugavi wala manunuzi. Huyu kijana amekuwa ni kimeo kwenye taasisi kwa kuongoza kujipendekeza kwa wakubwa na kueneza majungu na kuharibia wenzake kazi ki-majungu tu na kuwafanyia character assassination. Hii tabia imepelekea kuwavuja moyo na kuwaondolea ari ya utendaji wafanyakazi.

Kwa sasa ngoja niishie hapa!!
 
Well said my friend!!

Badala ya kuangalia in totality kuhusu maeneo ambayo yamekithiri kwa upotevu wa dawa za wananchi Waziri wa Afya ana-dwell vituo vya afya na pharmacies tu!!...
MSD imeoza sn tatizo huku ndani kuna miguu ya wakubwa ndiyo maana inafanya mambo ya ajabu sn
 
MSD imeoza sn tatizo huku ndani kuna miguu ya wakubwa ndiyo maana inafanya mambo ya ajabu sn
Nafikili uko sahihi kabisa ndugu yangu.

Maana nasikia anachokifanya Mkurugenzi Mkuu wa sasa hivi ambae ni Mwanajeshi ni kuwatoa watu waliokuwepo MSD kwa kuwapeleka kwenye taasisi zingine halafu yeye analeta team yake na baadhi ya watoto/ndugu za wakubwa. Nakaa nikijiuliza kuwa huu ni aina gani ya Utawala, ina maana akija DG mwingine pale MSD basi aondoe woote aliowaweka huyu Mwanajeshi na yeye aweke wa kwake!!!!!....sidhani kama tutafika.

Hebu niwaulize wasomi waliobobea kwenye Utawala na Uongozi; hivi change management kwenye taasisi unaanza na kitu gani if at you are a leader unaejiamini kuwa umesomea Uongozi na Utawala? nasubili jibu jamani😆😆😆😆

Asanteni
 
Nafikili uko sahihi kabisa ndugu yangu.

Maana nasikia anachokifanya Mkurugenzi Mkuu wa sasa hivi ambae ni Mwanajeshi ni kuwatoa watu waliokuwepo MSD kwa kuwapeleka kwenye taasisi zingine halafu yeye analeta team yake na baadhi ya watoto/ndugu za wakubwa. Nakaa nikijiuliza kuwa huu ni aina gani ya Utawala, ina maana akija DG mwingine pale MSD basi aondoe woote aliowaweka huyu Mwanajeshi na yeye aweke wa kwake!!
Tuna mfumo mbovu ambayo hauwezi kutusaidia zaidi ya kuharibu. Poleni sana.
 
Nafikili uko sahihi kabisa ndugu yangu.

Maana nasikia anachokifanya Mkurugenzi Mkuu wa sasa hivi ambae ni Mwanajeshi ni kuwatoa watu waliokuwepo MSD kwa kuwapeleka kwenye taasisi zingine halafu yeye analeta team yake na baadhi ya watoto/ndugu za wakubwa. Nakaa nikijiuliza kuwa huu ni aina gani ya Utawala, ina maana akija DG mwingine pale MSD basi aondoe woote aliowaweka huyu Mwanajeshi na yeye aweke wa kwake!!!!!....sidhani kama tutafika.

Hebu niwaulize wasomi waliobobea kwenye Utawala na Uongozi; hivi change management kwenye taasisi unaanza na kitu gani if at you are a leader unaejiamini kuwa umesomea Uongozi na Utawala? nasubili jibu jamani😆😆😆😆

Asanteni
Ni kweli kabisa hapa tuna kijana mmoja anaitwa Frank Nkone. Huyu kijana ni wa hovyo haijawai tokea. Ni mtu wa kujipendekeza mnoo kwa wakubwa kwa njia ya majungu na uchonganishi kwa watumishi wenzake ambapo watumishi wengi wameweza kufukuzwa kazi ama kuhamishwa maeneo yao ya kazi kwa kufanyiwa character assassination na huyu kijana.

Ikiwa haitoshi, ikiwa ni mikakati ya kuwapiga vita wafanyakazi wenzake ameweza kumrubuni CEO aliyepo na kupewa Ukaimu Mkurugenzi wa Manunuzi wakati hajasomea, hajawifanya kazi ya ugavi na ununuzi, hana cheti chochote cha mambo ya ugavi kisa ni kwasababu ya kupeleka majungu na kuwaharibia wenzake waliosomea fani ya ugavi na manunuzi.

Kweli kabisa huyu kijana ni kimeo kikubwa sana kwenye taasisi.
 
Aache maigizo sasa. Tunataka kusikia amewawajibisha wangapi kutokana na ubadhirifu huo!.
 
Back
Top Bottom