Kama ilivyofikishwa...
Nawakilisha
Tatizo sio kuumbua hizi kweli ila ni kupima ni mangapi yamelipuliwa hapa na nini kimetokea na kufanyika wahusika wamechukuliwa hatua gani.
Mwisho wa maradhi yote haya ni serikali ya CCM kupata usugu na ndio ukawakuwa watu wanaishi Tanzania na virusi vya maleria lakini hawaumwi wala hawapati madhara makubwa zaidi ya homa ya siku moja tu ,na wengine hata hawana habari kama wamekumbwa na virusi hivi mwilini ila wanajua kuwa wanaishi na virusi ,so long JF itakuwa mstari wa mbele katika kufichua uchafu huu ,ikiwa serikali haiambiliki wala wahusika hawana habari labda homa ya siku moja au mbili na halafu wanarudi kama sio na kutanua kwa jeuri zaidi,hamwoni kama mwisho wake watakuwa croniko.
Ni wazo tu.
Mwiba.
Jamani hivi tufanyeje ili Nidhamu + Uzalendo urudi serikalini na kwenye mashirika ya umma??