TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
Chadema wapo makini sana ndiyo maana wameamua kumfukuza uanachama huyu Matata Henry kumbe huyu jamaa ni fisadi wa kutupwa!