Huyu sie yule mtoto wake aliyefukuzwa kazi ya Uhakimu kule mahakama ya mkoa sababu ya ulevi? If so anawezeje kuwa mfano mwema kwa jamii atakayoiongoza?
Hivi unajua kwamba mzee makamba aliwahi kufukuzwa shule baada ya kumpa mimba mwanafunzi wake yeye akiwa mwalimu????
Jee unajuaaliyemshauri nyerere makamba apewe nafasi kwenye chama ni marehemu mzee kawawa baada ya kumuona akiwa anacheza sana ngoma kwenye sherehe.....
Jee unajua kwamba mzee makamba alishawahi kugombea ubunge jimbo la bumbuli mara mbili akashindwa.
Mwaka huu sasa amempeleka mwanae january makamba akagombee jimbo lile aliloshindwa yeye na kushndana na mzee shelukindo ambaye alimshinda.
Safari hii anaenda akiwa yeye ndiye katibu wa chama cha ccm ambacho ndicho mwanae anachotumia kugombea, na pia mwanae huyo akiwa akifanya azi na raisi, mwenyekiti wa chama.
Wengi tunamjua january makamba japo hata kama sio sana.
Kinachotokea sasa ni kwamba mzee makamba anatumia nafasi yake kushinikiza kijana wake ndio aje awe mbunge w bumbuli kwa hali yoyote...mazingira yote yanaonyesha na dalii zote zinaonyesha hivyo nitatoa baadhi ya mifano:
1. Kuna vipepelushi jimboni bumbuli vinavyosema mbunge wa 2010 bumbuli ni januarymakmba na kama kun wanachama hawana makadi ya chama basi wawasiliane na viongozi wa chama.....
2. Mzee makamba akiwa ktka ufunguzi wa shule katika kata ya tamota, alimuita january aje akae karibu na mzee sherukindo na kumuambia mzee sherukindo amroge kama anaweza, pamoja na kutoa maneno ya kejeri..
3. Mzee makamba ameonana na makatibu wa kata wote wa jimbo labumbuli na kuwataka wafanye kazi moja tu ya kumtangaza january, mkutano wa kwanza ulifanyika, mahezanguru...
4. Baadhi ya makatibu kata waliogundulika kutomuunga mkono january makamba au kushindwa kutoa ushirikiano katika kampeni mpaka sasa wamesimamishwa kazi kwa amri ya makamba japo viongozi wa wilaya waliwapa tu onyo, makatibu 2 wamesimamishwa na wengi wamepewa onyo.
5. Baadhi ya watendaji wa kata pia wamebadilishwa na kutolea jimboni bumbuli baada ya kubainika hawaungi mkono kampenza january katika maeneo yao, watendaji wa mgwashi na bumbuli wamehamishwa...walihisiwa kusaidia mbunge aliyepo madarakni.
6. January makamba amefanya kampeni za wazi katika kata zote kwa mikutano ya hadhara ikiwa ni pamoja ni kutoa pesa hadharani kwa wananchi lakini hakuna aliyechukua hatua na badal yake ccm mkoa imeamua kusamehe yaliyopita wakati huohuo wakilalamikia mzee sheluindo kufanya kampeni japo ni kazi yake bado kukutan na wnanchi wake, lakini la january ahalikusemwa na kusemwa la mheshimiwa....
7. January amefnya mikutano n wazee na akina mama katika kata za vuga,mgwashi na bumbuli kwa kuandaa vyakula na kutoa pesa kwa wahudhuliaji wote, lakini hilihalijasemwa na mtu pamoja na kulalamikiwa na wananchi...
8. Januar anapigiwa kampeni na viongozi wa chama kinyume na kanuniza chama, hata ktika misafara yke huongozana na viongozi hao.
Yapo mengi yanayolalamikiwa na wananchi na hata viongozi wa chama lakin hakuna hatua zinazochukuliwa....kisa ni mtoto wa katibu mkuu na mtu wa karibu wa mwenyekiti wa chama (raisi)...
Zipo tetesi kwamba january anatumika kumuondoa tu mzee shelukindo na hata yeye dio sera anayonadi na sio kutaka kusaidia wananchi, katika sherehe ya kufungua shule yake mzee makamba aliashukuru marafik wake waliomchangia kina rostam azizi, yusuph manji.....na mzee lowasa.
"kakia ka mbuzi kahaghia kahelala"....mkia a mbuz hufagia pale unapolala...ndio usemi maarufu wa mzee makamba na labda ndio maana toka amewahi kuwa kiongozi amekuwa akisaidia eneo moja tu analotoka,na sio jimbo lote au wilaya yote au mkoa wote.....
Mambo bao...
si bado anaweza kushtakiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi na akafungwa maisha?