Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Kama hoja ya mwandishi. Mimi simo sana kwenye siasa, lakini lazima ifike mahali tukubali yako mambo ambayo ni kwa ajili ya national interest. Hata hao mnaowashangiloa huko ulaya kwa wanayotufanyia wana mipaka yao kwenye masuala ya kitaifa. Ni hilo tu mkuu.kaa ipi?