wanajamvi mi ni tcha wa sec ninaprogram ya uanzishaji mashina ya chadema ktk kila shule za sec ktk hii wilaya yangu ili kusongesha ukuaji wa chama.je kuna sheria itakayonibana?kama ipo nipeni na reference kama haipo niungeni mkono kwa kuanzisha mashina hayo ktk shule za wilaya zenu