Uandishi katika utandawazi wa Wikipedia

James Njenga

New Member
Mar 3, 2017
3
0
Mu vipi wangwana? Ningependa kujua kama mna waandishi hapa katika utandawazi wa Wikipedia ya Kiswahili. Mimi ni mwandishi humo na nimeng'amua kwamba wengi wanaohariri ni wazungu. Yafaa sisi kama wenyeji wa Kiswahili kuwa mstari wa mbele katika kuandika. Hamna kwa mfano makala kuwahusu waandishi gwiji kama Ken Walibora, Said Ahmed Mohammed, mwanablogu Issa Michuzi. Twafaa tufanye mambo. Ili pia tupate backlinks
 
Classmate wangu huko ughaibuni alikuwa anaitwa James njenga alikuwa Mkenya
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom