GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Ili kumaliza kelele ni nani anaweza kutoa Maelezo kwa ufasaha kuhusu siasa zetu, Tumetoka wapi na tupo wapi na tunaelekea wapi ni vyema ukawekwa Mdahalo kwa lugha ya Kiingereza live tushuhudie kati ya Jenerali ulimwengu na Mheshimiwa Job Ndugai
Mdahalo huo utamaliza na kuweka wazi ukweli ni nani mwana ccm mwenye hoja kwa lugha ya Kiingereza kati ya Ulimwengu na Ndugai
Mwambieni Spika Ndugai mwana ccm mwezangu atamke kwa kiingereza maneno HAYA"BUNGE HALICHEZEWI, BUNGE LIMEDHARAULIKA "
Napenda kuona watu wakifokeana kwa kiingereza
Kuna wana ccm kelele nyingi lakini wakifika kwenye Kiingereza utasikia
The...... The.......
Mmmmmh....
mmm, Of course
Yes,...
Yes
Wengi ya wana ccm Kiingereza ni shida sana
Hakika tutakukumbuka Benjamin Mkapa kwa Kiingereza safi, Uliweza kufoka kwa Kiingereza, Hawa wa sasa kelele za kiswahili tu ukiwa weka na Beberu toka ulaya hamna kitu
Mdahalo huo utamaliza na kuweka wazi ukweli ni nani mwana ccm mwenye hoja kwa lugha ya Kiingereza kati ya Ulimwengu na Ndugai
Mwambieni Spika Ndugai mwana ccm mwezangu atamke kwa kiingereza maneno HAYA"BUNGE HALICHEZEWI, BUNGE LIMEDHARAULIKA "
Napenda kuona watu wakifokeana kwa kiingereza
Kuna wana ccm kelele nyingi lakini wakifika kwenye Kiingereza utasikia
The...... The.......
Mmmmmh....
mmm, Of course
Yes,...
Yes
Wengi ya wana ccm Kiingereza ni shida sana
Hakika tutakukumbuka Benjamin Mkapa kwa Kiingereza safi, Uliweza kufoka kwa Kiingereza, Hawa wa sasa kelele za kiswahili tu ukiwa weka na Beberu toka ulaya hamna kitu