Uanaume ni kazi!

Unaumwa wewe,
labda wanaume wajinga hao waume za watu unowaita watamu ndio wataongozwa na matetea kama nyie.
 
Moja ya zawadi the best ambayo Mungu alinipa, ni hii ya kuwa mwanaume, in short ukiwa mwanaume tu tayari ni kipaji hicho, kwani unakuwa na sifa zifuatazo yani granted fom the heaven.
1.Huogopi, Jasiri, Unanasimamia maamuzi, shida ni fursa kwako, unaishio popote pale unapotaka, etccc

Mwanaume ni simba, A man is a lion"-(Steven kanumba stated)
 
Huwezi kutangulia mbele unaacha mzigo nyuma wakija wanaume wenzio wakaupora! Unakuwa nyuma huku ukiangalia kila upande nyuma yake, mbele , pembeni kuona hakuna jambo lolote baya linatokea na likitokea unakabiliana nalo.Huo ndiyo uwanaume. Bora mimi nife mzigo ufike. Kiongozi daima huchunga mzigo wake.
Ujasiri ni asili ya viumbe vya jinsia ya Kiume au ni kujitahidi tu usiaibike?
Mwanamume Simama katika Nafasi yako usitishwe na Haki Sawa.
View attachment 160713
 
Moja ya zawadi the best ambayo Mungu alinipa, ni hii ya kuwa mwanaume, in short ukiwa mwanaume tu tayari ni kipaji hicho, kwani unakuwa na sifa zifuatazo yani granted fom the heaven.
1.Huogopi, Jasiri, Unanasimamia maamuzi, shida ni fursa kwako, unaishio popote pale unapotaka, etccc

Mwanaume ni simba, A man is a lion"-(Steven kanumba stated)
Haya bwana.., umenikumbusah jamaa aliyekuwa anasema "Ukizaliwa mjini wewe tayari Form Four!"
 
Hamjawaelewa tu, wenyewe wanadai usawa kwenye Lami tu hayo mengine Wanaume tutangulie....
 
Back
Top Bottom