DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 302
- 274
Wana bodi,
Mengi yamejadiliwa kuhusu kukamatwa kwa kiongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mashtaka ya ugaidi yanayo mkabili.
Je, uanaharakati tunaoushuhudia haswa kutoka kwa wapinzani unaweza kudumu kwa muda mrefu na kuleta mabadiliko ya aina yoyote?
Mchakato wa kupata katiba mpya miaka kadhaa iliyo pita hauku zaa mafanikio yoyote kwasababu wahusika walishindwa ku kubaliana kuhusu mfumo wa serikali. Ili kuwa na kampeni ambayo inaweza kuleta mabadiliko, wana CHADEMA wana takiwa kuwa na sababu za msingi au mapungufu kwenye katiba tuliyo nayo sasa hivi pamoja na tume ya uchaguzi.
Inawezekana kwamba njia pekee ya ku wasilisha mapungufu ya katiba na kuweza kusikilizwa ni kwenda mitaani lakini je wana CHADEMA wana uwezo na rasilimali watu wenye udhubutu na nidhamu ya kutosha?
Je, Tanzania ni nchi rafiki kwa mtu yeyote au kundi la watu lolote linalo pinga maamuzi ya serikali hadharani? Ukweli ni kwamba uana harakati una hitaji watu ambao wako tayari kwa lolote. Iwe kufungwa, ku chukuliwa hatua kali za sheria na kadhalika. Ninapo wa angalia wana CHADEMA nina hisi kwamba ni wepesi kugawanywa na tofauti na "generation" ya wakina Freeman Mbowe, hawana nguvu sana kuendeleza mashambulizi dhidi ya serikali.
Tafakari,
Jumanne njema.
Mengi yamejadiliwa kuhusu kukamatwa kwa kiongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mashtaka ya ugaidi yanayo mkabili.
Je, uanaharakati tunaoushuhudia haswa kutoka kwa wapinzani unaweza kudumu kwa muda mrefu na kuleta mabadiliko ya aina yoyote?
Mchakato wa kupata katiba mpya miaka kadhaa iliyo pita hauku zaa mafanikio yoyote kwasababu wahusika walishindwa ku kubaliana kuhusu mfumo wa serikali. Ili kuwa na kampeni ambayo inaweza kuleta mabadiliko, wana CHADEMA wana takiwa kuwa na sababu za msingi au mapungufu kwenye katiba tuliyo nayo sasa hivi pamoja na tume ya uchaguzi.
Inawezekana kwamba njia pekee ya ku wasilisha mapungufu ya katiba na kuweza kusikilizwa ni kwenda mitaani lakini je wana CHADEMA wana uwezo na rasilimali watu wenye udhubutu na nidhamu ya kutosha?
Je, Tanzania ni nchi rafiki kwa mtu yeyote au kundi la watu lolote linalo pinga maamuzi ya serikali hadharani? Ukweli ni kwamba uana harakati una hitaji watu ambao wako tayari kwa lolote. Iwe kufungwa, ku chukuliwa hatua kali za sheria na kadhalika. Ninapo wa angalia wana CHADEMA nina hisi kwamba ni wepesi kugawanywa na tofauti na "generation" ya wakina Freeman Mbowe, hawana nguvu sana kuendeleza mashambulizi dhidi ya serikali.
Tafakari,
Jumanne njema.