Uamuzi wa Serikali ya awamu ya tatu kuuza nyumba za serikali ulikuwa sahihi, Oysterbay imeshaini kwa majengo mazuri. Ya Dodoma yametimia

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana jf

Mwanzoni watu walilalama sana uamuzi wa serikali kuuza nyumba zake, hii imeleta matokeo chanya na faida nyingi.

Kwanza imewaondolea watumishi wa umma hadha ya kufukuzwa katika nyumba hizo kwani walikuwa wanajisahau sana kwa kupewa kila kitu bure. Sasa hivi kila mtumishi wa umma anaogopa aibu akipata vipesa vyake ukimbilia kujenga na kufanya maendeleo mengine. Oysterbay na maeneo mengine ambaya ni makubwa tulishuhudia watu wakiyafanya makazi haya kuwa ya mifugo ili kuongeza kipato.

Mandhari ya majumba yanayojengwa kwa sasa katika mji Wa kibiashara Dar, Oysterbay na masaki na msasani yemechomoza majengo mazuri muno yamepambika sana kiasi cha kuwa kivutio.

Uuzwaji Wa nyumba hizi umeondoa ule ubabe Wa vijana ambao walikuwa wakijimwambafai kuwa wamezaliwa kwenye maeneo hayo ya heshima sasa hivi ukiwa na fedha unanunua apartments au unapanga.

Vizazi vilizaliwa maeneo haya vilikuwa vizazi vya ubwanyenye ndio walikuwa na tabia za kifisadi kutokana kwamba katika serikali za awamu ya kwanza mpaka ya tatu watu wakiingia kwenye nyumba wanakaa hata miaka 50 utadhani ya kwao.

Serikali imefaidika kuziuza mapema kwani ilipoamua kuamia Dodoma hata majengo yangebaki magofu kwani ni ya zamani na yalikuwa yamechakaa sana hivyo ingekuwa vigumu kupata wapangaji.

Mwisho Watanzania tuache lawama kuwa serikali inatumia Pesa nyingi kuwakodishia watumishi Wa umma majengo badala yake wale waajiriwa waweke bidii nao kuwa na sehemu zao. Hata hivyo watumishi hawa imeowaondolea kujitenga sana na jamii hivyo maendeleo tunayafanya kwa pamoja
 
.
tapatalk_1574278803229.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo serikali haina bajeti ya kukarabati majengo ambayo yanatumiwa na maafisa wake? suluhisho ni kuwauzia mabwanyenye ili wajenge mijengo kama ile ya New York
 
Kwa hiyo serikali haina bajeti ya kukarabati majengo ambayo yanatumiwa na maafisa wake? suluhisho ni kuwauzia mabwanyenye ili wajenge mijengo kama ile ya New York
Nadhani uliyaona hali yaliyokuwa NAyo, yalichoka sana, watumishi wengi hawakuwa wazalendo kutunza Mali ya serikali, sehemu walizijaza mbuzi, kuku ng'ombe sasa hivi usafi kama wote . kupitia majengo mapya serikali inapata kodi kubwa kuliko ambavyo yangekaliwa na watumishi
 
Wana jf

Mwanzoni watu walilalama sana uamuzi wa serikali kuuza nyumba zake, hii imeleta matokeo chanya na faida nyingi.

Kwanza imewaondolea watumishi wa umma hadha ya kufukuzwa katika nyumba hizo kwani walikuwa wanajisahau sana kwa kupewa kila kitu bure. Sasa hivi kila mtumishi wa umma anaogopa aibu akipata vipesa vyake ukimbilia kujenga na kufanya maendeleo mengine. Oysterbay na maeneo mengine ambaya ni makubwa tulishuhudia watu wakiyafanya makazi haya kuwa ya mifugo ili kuongeza kipato.

Mandhari ya majumba yanayojengwa kwa sasa katika mji Wa kibiashara Dar, Oysterbay na masaki na msasani yemechomoza majengo mazuri muno yamepambika sana kiasi cha kuwa kivutio.

Uuzwaji Wa nyumba hizi umeondoa ule ubabe Wa vijana ambao walikuwa wakijimwambafai kuwa wamezaliwa kwenye maeneo hayo ya heshima sasa hivi ukiwa na fedha unanunua apartments au unapanga.

Vizazi vilizaliwa maeneo haya vilikuwa vizazi vya ubwanyenye ndio walikuwa na tabia za kifisadi kutokana kwamba katika serikali za awamu ya kwanza mpaka ya tatu watu wakiingia kwenye nyumba wanakaa hata miaka 50 utadhani ya kwao.

Serikali imefaidika kuziuza mapema kwani ilipoamua kuamia Dodoma hata majengo yangebaki magofu kwani ni ya zamani na yalikuwa yamechakaa sana hivyo ingekuwa vigumu kupata wapangaji.

Mwisho Watanzania tuache lawama kuwa serikali inatumia Pesa nyingi kuwakodishia watumishi Wa umma majengo badala yake wale waajiriwa waweke bidii nao kuwa na sehemu zao. Hata hivyo watumishi hawa imeowaondolea kujitenga sana na jamii hivyo maendeleo tunayafanya kwa pamoja.
Kampeni zimeshaanza ?
 
Wewe utakuwa mfaidika wa zoezi zima la kuuzwa nyumba hizi. Ni mali za serikali Kodi za wananchi wote lakini wakapewa watumishi kwa Bei ya kutupa na zingine zikiwa zimekarabatiwa kwa gharama kubwa kuliko ya kuuzia. Ni viongozi waroho waliokuwa wanataka maeneo ya Msasani, Masaki nk, wakalifanya zoezi la nchi nzima ili kuhalalisha nia yao.
Wana jf

Mwanzoni watu walilalama sana uamuzi wa serikali kuuza nyumba zake, hii imeleta matokeo chanya na faida nyingi.

Kwanza imewaondolea watumishi wa umma hadha ya kufukuzwa katika nyumba hizo kwani walikuwa wanajisahau sana kwa kupewa kila kitu bure. Sasa hivi kila mtumishi wa umma anaogopa aibu akipata vipesa vyake ukimbilia kujenga na kufanya maendeleo mengine. Oysterbay na maeneo mengine ambaya ni makubwa tulishuhudia watu wakiyafanya makazi haya kuwa ya mifugo ili kuongeza kipato.

Mandhari ya majumba yanayojengwa kwa sasa katika mji Wa kibiashara Dar, Oysterbay na masaki na msasani yemechomoza majengo mazuri muno yamepambika sana kiasi cha kuwa kivutio.

Uuzwaji Wa nyumba hizi umeondoa ule ubabe Wa vijana ambao walikuwa wakijimwambafai kuwa wamezaliwa kwenye maeneo hayo ya heshima sasa hivi ukiwa na fedha unanunua apartments au unapanga.

Vizazi vilizaliwa maeneo haya vilikuwa vizazi vya ubwanyenye ndio walikuwa na tabia za kifisadi kutokana kwamba katika serikali za awamu ya kwanza mpaka ya tatu watu wakiingia kwenye nyumba wanakaa hata miaka 50 utadhani ya kwao.

Serikali imefaidika kuziuza mapema kwani ilipoamua kuamia Dodoma hata majengo yangebaki magofu kwani ni ya zamani na yalikuwa yamechakaa sana hivyo ingekuwa vigumu kupata wapangaji.

Mwisho Watanzania tuache lawama kuwa serikali inatumia Pesa nyingi kuwakodishia watumishi Wa umma majengo badala yake wale waajiriwa waweke bidii nao kuwa na sehemu zao. Hata hivyo watumishi hawa imeowaondolea kujitenga sana na jamii hivyo maendeleo tunayafanya kwa pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa mfaidika wa zoezi zima la kuuzwa nyumba hizi. Ni mali za serikali Kodi za wananchi wote lakini wakapewa watumishi kwa Bei ya kutupa na zingine zikiwa zimekarabatiwa kwa gharama kubwa kuliko ya kuuzia. Ni viongozi waroho waliokuwa wanataka maeneo ya Msasani, Masaki nk, wakalifanya zoezi la nchi nzima ili kuhalalisha nia yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ziliuzwa hata kabla sijajua maeneo haya. Baada ya kuyatembelea nikagundua kuwa kama wangeliyaacha kama yalivyo basi yangejenga matabaka
 
Hivi awamu ya tatu nani aliwapa kazi ya kuuza mali za watanzania? Kuanzia viwanda mpaka nyumba, kulikoni?
 
Wana jf

Mwanzoni watu walilalama sana uamuzi wa serikali kuuza nyumba zake, hii imeleta matokeo chanya na faida nyingi.

Kwanza imewaondolea watumishi wa umma hadha ya kufukuzwa katika nyumba hizo kwani walikuwa wanajisahau sana kwa kupewa kila kitu bure. Sasa hivi kila mtumishi wa umma anaogopa aibu akipata vipesa vyake ukimbilia kujenga na kufanya maendeleo mengine. Oysterbay na maeneo mengine ambaya ni makubwa tulishuhudia watu wakiyafanya makazi haya kuwa ya mifugo ili kuongeza kipato.

Mandhari ya majumba yanayojengwa kwa sasa katika mji Wa kibiashara Dar, Oysterbay na masaki na msasani yemechomoza majengo mazuri muno yamepambika sana kiasi cha kuwa kivutio.

Uuzwaji Wa nyumba hizi umeondoa ule ubabe Wa vijana ambao walikuwa wakijimwambafai kuwa wamezaliwa kwenye maeneo hayo ya heshima sasa hivi ukiwa na fedha unanunua apartments au unapanga.

Vizazi vilizaliwa maeneo haya vilikuwa vizazi vya ubwanyenye ndio walikuwa na tabia za kifisadi kutokana kwamba katika serikali za awamu ya kwanza mpaka ya tatu watu wakiingia kwenye nyumba wanakaa hata miaka 50 utadhani ya kwao.

Serikali imefaidika kuziuza mapema kwani ilipoamua kuamia Dodoma hata majengo yangebaki magofu kwani ni ya zamani na yalikuwa yamechakaa sana hivyo ingekuwa vigumu kupata wapangaji.

Mwisho Watanzania tuache lawama kuwa serikali inatumia Pesa nyingi kuwakodishia watumishi Wa umma majengo badala yake wale waajiriwa waweke bidii nao kuwa na sehemu zao. Hata hivyo watumishi hawa imeowaondolea kujitenga sana na jamii hivyo maendeleo tunayafanya kwa pamoja
Ndugu,
Mm binafsi yangu sikupendezwa kabisa juu ya uuzwaji wa nyumba hizi.

Aliyehusika na uuzwaji wa nyumba hizi, kajutia kitendo hicho na kakiri kuwa alishauriwa vibaya na wasaidizi wake , ni miongoni mwa maneno aliyoandika kwenye kitabu chake.

Kuuza maeneo sawa, lkn kwa ushauri na mustakabali wa Taifa letu, wauzaji wangekuwa na nia njema na kumtanguliza Mungu maeneo mengi yaliyouzwa yalipaswa kuuzwa kwa taasisi siyo kwa watu binafsi.
 
Back
Top Bottom