seriusly...this issue ni ya kutafakari saaaannaaa....je uamuzi wa uongozi wa chuo cha MT. AUGUSTINO Mwanza wa kuwapiga marufuku wadada kuvaa suruali ni sahihi?nahisi wangekataza watu kuvaa leggings na ku 'boost' boobs lakini suruali?mmmhmmm.....hebu lets get to think about it...skirts wadada wa leo wanazovaaa,c bora suruali....mtu anavaa kagauni au kasketi kafupi alafu ni transparent....wats all that?ni bora suruali kwa kweli..SAUT,please re-think your decision........