Motoekoppela te
Senior Member
- Oct 13, 2014
- 183
- 198
😂😂😂 Mkuu Kama Kuna mahali "mzee baba"alikoseaga ni kuanza udukuzi wa watendaji wake na kuidhihirishia dunia kuwa ni kitu simple sanaHahaha! Umenikumbusha juu ya kachero mbobezi, mzee wa "niguse ninuke".
Halafu hao wajanja waliodukuwa mpk mazungumzo ya mzee baba na madaktari wake kisha kuzima betri wapewe ulinzi