Watanzania wanafanywa wajinga sana kwenye maswala ya mitandao kuna mambo mawili ambayo watu wengi hawakuyajua
1. Juzi wakati Raisi anafungua kiwanda cha polisi IGP alisema Polisi hawana teknologia ya kutosha. Rais Samia akasema sasa tulivyo andikisha simu kwa vidole ilikuwa na maana gani? swali la msingi
2. Tumeambiwa Taneso mtandao upo chini.
Hivi vyote ni kitu kimoja na nitawaeleza kwa ufupi
1. Kwanza inaelekea mtandao wa Taneso unaosemekana umearibiwa ni kwamba umearibiwa na majambazi wa mitandaoni. Hawa majambazi wanaweza kufanya mawili. Kwanza wanatafuta mbinu za kuingia kweye mitandao yako wakishaingia wanabadilisha password hivyo hakuna mtu anaweza kuingia kwenye mtandao wa hiyo software. kwa ufupi wanateka mtambo halafu wanaweza kuomba pesa au kuaribu mtandao mzima na kubadilisha. Sasa niya yao kubwa ni pesa inawezekana watu binafsi wakawapa pesa ili waaribu mtandao kwa faida zao au wanaingia kwenye mtandao ndiyo waombe pesa kwa kampuni. Mfano wiki iliyopita hapa US hawa jamaa ambao wengi wanaishi Urusi wakichukua system ya ushambazaji wa mafuta na walilipwa mamilioni na kulitokea upungufu mkubwa wa mafuta maana waliuzuia. Hivyo tusije tukashangaa Taneso kwa siri yawezekana wametoa chochote au wanufuja ili mitambo kuwa chini kama wale wala rushwa ndiyo wamewalipa hawa jamaa kufanya kazi. Lakini si kweli kwamba system imeenda kuaribika maana hizi system zinatumiaka dunia nzima sio Tanzania tu!
2. Swala la pili wakati wananchi wanaandikisha kwa vidole nia ya serikali ilikuwa kisiasa zaidi ili wajue watu wanaowasema badala ya kusaidia nchi ! Hakuna sababu yeyote ya kuweka vidole na kuandikisha kama polisi hawana mtambo na ufundi wa kushika wahalifu. Na kwasababu Polisi wanasema hawana ujuzi ina maana usala wa taifa kwa kushirikiana na kampuni za simu walikuwa wamejikita zaidi kurekodi majungu ya maneno ya mitandaoni kumlinda Magu kuliko kusaidia nchi kwenye ujambazi kama huu wa Tanesco. Tatizo ni kwamba hawa ambao wanaitwa wezi wa mitandao sio wezi wadogo ni majambazi wa kimataifa ambao wengi hawakai Tanzania. Lakini kwasababu polisi hawajui chochote na wanajali zaidi majungu na vijimaneno tusishangae matatizo kama ya Tanesco yakaja tena na malipo yakawa ya siri. Ma bank yetu na mashirika makubwa yawe makini sana.
Serikali iangalie zaidi uizi wa mitandao badala ya uhuru wa watu kijieleza na demokrasia. Sisi kama nchi tutapoteza pesa nyingi kama tutatumia usalama na wataalamu ambao wana gharama kubwa kufatilia vijimaneno vya mitandaoni wakati kampuni zetu system zao zinatekwa waziwazi
1. Juzi wakati Raisi anafungua kiwanda cha polisi IGP alisema Polisi hawana teknologia ya kutosha. Rais Samia akasema sasa tulivyo andikisha simu kwa vidole ilikuwa na maana gani? swali la msingi
2. Tumeambiwa Taneso mtandao upo chini.
Hivi vyote ni kitu kimoja na nitawaeleza kwa ufupi
1. Kwanza inaelekea mtandao wa Taneso unaosemekana umearibiwa ni kwamba umearibiwa na majambazi wa mitandaoni. Hawa majambazi wanaweza kufanya mawili. Kwanza wanatafuta mbinu za kuingia kweye mitandao yako wakishaingia wanabadilisha password hivyo hakuna mtu anaweza kuingia kwenye mtandao wa hiyo software. kwa ufupi wanateka mtambo halafu wanaweza kuomba pesa au kuaribu mtandao mzima na kubadilisha. Sasa niya yao kubwa ni pesa inawezekana watu binafsi wakawapa pesa ili waaribu mtandao kwa faida zao au wanaingia kwenye mtandao ndiyo waombe pesa kwa kampuni. Mfano wiki iliyopita hapa US hawa jamaa ambao wengi wanaishi Urusi wakichukua system ya ushambazaji wa mafuta na walilipwa mamilioni na kulitokea upungufu mkubwa wa mafuta maana waliuzuia. Hivyo tusije tukashangaa Taneso kwa siri yawezekana wametoa chochote au wanufuja ili mitambo kuwa chini kama wale wala rushwa ndiyo wamewalipa hawa jamaa kufanya kazi. Lakini si kweli kwamba system imeenda kuaribika maana hizi system zinatumiaka dunia nzima sio Tanzania tu!
2. Swala la pili wakati wananchi wanaandikisha kwa vidole nia ya serikali ilikuwa kisiasa zaidi ili wajue watu wanaowasema badala ya kusaidia nchi ! Hakuna sababu yeyote ya kuweka vidole na kuandikisha kama polisi hawana mtambo na ufundi wa kushika wahalifu. Na kwasababu Polisi wanasema hawana ujuzi ina maana usala wa taifa kwa kushirikiana na kampuni za simu walikuwa wamejikita zaidi kurekodi majungu ya maneno ya mitandaoni kumlinda Magu kuliko kusaidia nchi kwenye ujambazi kama huu wa Tanesco. Tatizo ni kwamba hawa ambao wanaitwa wezi wa mitandao sio wezi wadogo ni majambazi wa kimataifa ambao wengi hawakai Tanzania. Lakini kwasababu polisi hawajui chochote na wanajali zaidi majungu na vijimaneno tusishangae matatizo kama ya Tanesco yakaja tena na malipo yakawa ya siri. Ma bank yetu na mashirika makubwa yawe makini sana.
Serikali iangalie zaidi uizi wa mitandao badala ya uhuru wa watu kijieleza na demokrasia. Sisi kama nchi tutapoteza pesa nyingi kama tutatumia usalama na wataalamu ambao wana gharama kubwa kufatilia vijimaneno vya mitandaoni wakati kampuni zetu system zao zinatekwa waziwazi