Habari wana jukwaa. Mnyonge mnyongenj, haki yake mpeni.
Natoa pongezi nyingi sana kwa Mh Waziri Kangi Lugola kwa uamuzi wake uliojaa utu na busara wa kuwaagiza Ma RPC kutozuia mabasi kutembea usiku kwa sababu za kiusalama.
Uamuzi huu unapaswa kupongezwa kwa sababu umetuondolea aibu kama Taifa ya watu wote kulala kwa kuhofia majambazi. Kwamba majambazi yanasababisha Taifa kulala huku tuna vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwamba uamuzi huu umetuondolea aibu ya kusimamisha saa ili kuokoa muda. Pia kwa uamuzi huu tunakwenda kushuhudia maendeleo ya haraka kwa Taifa kwa sababu utatupunguzia muda wa kulala na kuongeza muda wa kufanya kazi.
Kwa sasa mtu anaweza kutoka Dodoma usiku akaenda Dar akafanya shughuli zake na kugeuka siku hiyo hiyo na hivyo kuokoa muda na fedha.
Natoa pongezi nyingi sana kwa Mh Waziri Kangi Lugola kwa uamuzi wake uliojaa utu na busara wa kuwaagiza Ma RPC kutozuia mabasi kutembea usiku kwa sababu za kiusalama.
Uamuzi huu unapaswa kupongezwa kwa sababu umetuondolea aibu kama Taifa ya watu wote kulala kwa kuhofia majambazi. Kwamba majambazi yanasababisha Taifa kulala huku tuna vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwamba uamuzi huu umetuondolea aibu ya kusimamisha saa ili kuokoa muda. Pia kwa uamuzi huu tunakwenda kushuhudia maendeleo ya haraka kwa Taifa kwa sababu utatupunguzia muda wa kulala na kuongeza muda wa kufanya kazi.
Kwa sasa mtu anaweza kutoka Dodoma usiku akaenda Dar akafanya shughuli zake na kugeuka siku hiyo hiyo na hivyo kuokoa muda na fedha.