Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

Katiba ya Chadema iwe na kasoro kama hiyo halafu yule Nyahoza anayetishia kuifuta Chadema kila siku asiijue hiyo kasoro ili aitumie kumfurahisha bosi wake!
Kama unadhani wanajua kitu, you are very wrong!, ni weupe sana na wengine ni just empty shells!.
P
 
Basi msajili atakuwa mweupe zaidi yao kama hayaoni hayo mapungufu yao kikatiba.
Msajili Jaji Mutungi na Cisty wake, wameingia wameyakuta hayo madudu tayari yameifanyika, hawawezi kuyafumua, kama Samia alivyoingia, akayakuta mududu ya ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, na yeye kuendelea nao!.
P
 
Msajili Jaji Mutungi na Cisty wake, wameingia wameyakuta hayo madudu tayari yameifanyika, hawawezi kuyafumua, kama Samia alivyoingia, akayakuta mududu ya ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, na yeye kuendelea nao!.
P
Kama hayo madudu wameamua kuyaacha kinyume cha sheria, basi tukubaliane hayo madudu sio batili tena, ni halali.
 
Mwaka huo 2006, ofisi ya Msajili haikuwa na watu competent to scrutinise katiba za vyama, hivyo ikiisha pitishwa, haiwezekani kuiibua tena sasa!.
I don't get it..

What exactly do you mean here?

Kwamba, Sisty Nyahoza huyu tutusa ni more competent kuliko John Tendwa, Msajili by then..?
Aliyekwenda mahakamani ni ZZK only!.
True
P
It's ok, I agree..
However, my point is, their party membership was cancelled and they did nothing despite their partial resistance

Those political thugs are educated and were very influential in the party compared to Said Issa Mohamed who has zero brain and zero political influence..!
 
Back
Top Bottom