Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Umepotosha mkuu Paschal

Chadema haimzuii mtu kwenda mahakamani

Mfano huyo jamaa ameishtaki chadema mahakamani
Zitto naye aliwahi kuishtaki chadema mahakamani

Kama mwanachama unaposhindwa kuamini mifumo ya haki ndani ya Chama chako maanake uko chama ambacho sio sahihi kwako

Chadema ingeruhusu Kila mwanachama kuishtaki chama mahakamani mamluki wangekitesa chama Kila siku mahakamani

Fikiri madhara chadema iliyopata baada kwenda mahakamani???

Ina maana baad Said angeibuka mwanachama mwingine anaipeleka chadema mahakamani mwaka mwingine Tena

Katiba ya chadema haikatazi kwenda mahakamani ila inaweka wazi kukosa Imani ya mifumo ya Chama ni kupoteza uanachama wako

Naounga mkono hicho kipengele Cha katiba

Maana baada ya hapo una nafasi pia ya kujiunga na chama
 
Kwa hiyo unataka kusemaje hahaaa
Mimi nataka kusema, Said atumie muda wake mchache wa uhai wake uliobaki apiganie akhera yake, hao waliokuwa nyuma yake wanampotosha na hawamtasaidia baada ya kuondoka ktk dunia hii. Kama siasa ashafanya vya kutosha na hio kufukuzwa chadema ndio kheri yake. Kwa ufupi ajikite ktk dini yake badala ya dunia yake. Ajifunze kwa Lipumba
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Kosa linakuwa kosa iwapo likifanywa na Cdm ila kosa Hilo Hilo likifanywa na ccm sio kosa🤣🤣

Mwaka Jana nakumbuka ccm ilimfuta uanachama mch Malisa kwa kosa la kumshtaki mwenyekiti wa CCM kwa kukiuka katiba ya chama chake
Je kwanini hatukuoni mkipinga hyo hatua ya ccm ya kukiuka katiba ya nchi?
 
Kosa linakuwa kosa iwapo likifanywa na Cdm ila kosa Hilo Hilo likifanywa na ccm sio kosa🤣🤣

Mwaka Jana nakumbuka ccm ilimfuta uanachama mch Malisa kwa kosa la kumshtaki mwenyekiti wa CCM kwa kukiuka katiba ya chama chake
Je kwanini hatukuoni mkipinga hyo hatua ya ccm ya kukiuka katiba ya nchi?
Hii umepiga kwenye mshono kabisa, watu wanafiki sana wakifanya jambo Chadema wote midomo juu lakini wakifanya Chama Cha Majambazi jambo hilo hilo wanaufyata.
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Hoja ya msingi ni kuwa huyo kibaraka wa CCM alitakiwa apeleke madai yake ndani ya chama sio kwenda mahakamani kisa tu CCM mmemnunua.
 
STK za Chadema zinasema kwamba ukikishitaki chama mahakamani automatically umejifukuzisha chama ,huyo ilikuwa siyo kufukuzwa ilitakiwa alipe gharama za kesi ,muda na uharibifu wa mali.
 
STK za Chadema zinasema kwamba ukikishitaki chama mahakamani automatically umejifukuzisha chama ,huyo ilikuwa siyo kufukuzwa ilitakiwa alipe gharama za kesi ,muda na uharibifu wa mali.
Wanasheria wa Chadema wamfungulie kesi ya madai alipe hasara aliyoisababishia Chadema kipindi wamefungiwa kufanya shughuli zao za kisiasa, chapo ni kapuku hana uwezo wa kulipa hata milioni moja lakini aonje ladha ya kushitakiwa
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Mwanasheria na Wakili Msomi Pascal Mayalla, imekuwaje umeshindwa kuelewa jambo dogo na rahisi hivi hili...?

Katiba ya CHADEMA haimzuii mwanachama yeyote kutafuta haki yake mahakamani. Hata mleta mada DR Mambo Jambo hajasema mwanachama anazuiwa kutafuta haki yake mahakamani...

Isipokuwa, mwanachama anaweza tu kwenda mahakamani iwapo atakuwa amesha exhaust njia na taratibu zote za kichama kutafuta haki yake na kote huko akaikosa..

Huyu ndugu Saidi Issa Mohamed na wenzake hakuna kumbukumbu walizowahi kuziweka wazi kuonesha kuwa walishatafuta hiyo wanayosema ni "haki yao iliyonyimwa" kwa kutumia ,machinery za kichama wakakataa kusikilizwa..!

Hawa jamaa hakuna namna unaweza kuweka na kukitafsiri kitendo chao hicho zaidi ya kusema kuwa walikuwa na dhamira na nia ovu ya makusudi kabisa kukihujumu chama wakishirikiana na watu walio nje ya chama especially ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa championed by Sisty Nyahoza

Bila shaka walidhani na pengine walihakikishiwa na wahuni wachache ndani ya taasisi za serikali especially Msajili wa vyama vya siasa & TISS ya mtoto wa Samia Abdul Hafidhi Suluhu kuwa dhamira na nia yao hiyo ingetimia na kufanikiwa with impunity for 100%. Unfortunately for them, things changed unexpectedly...

Nakubalina nawe 109% kuwa "kuna haki maalumu zinalindwa na katiba ikiwemo natural justice ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa" na kwamba kama kuna sheria nyingine yoyote iliyotungwa kui - subdue katiba, basi sheria hiyo inakuwa batili..

Ni sahihi kabisa. Lakini this is not always, not in all circumstances..!!

Kwa mfano, moja ya haki kuu kabisa inayolindwa na katiba kwa nguvu zote ni haki ya kuishi, uhai wa mtu. Lakini zipo sheria zinarihusu mtu kujilinda anapokuwa ktk tishio la yeye kuuwawa vilevile na mtu mwingine. Unaweza kumwahi mtu huyo na kumuua yeye kabla hajakuua wewe na bado ukawa huna hatia hata kama katiba inalinda uhai wa mtu. Ndivyo askari hufanya kwa Majambazi wanaokabiliana nao kwa silaha...

Katika mazingira hayo tusemeje ndugu Pascal Mayalla? Kwamba sheria iliyowapa uwezo wa kuua ktk kujilinda kwao imevunja katiba, Iko juu ya katiba..?

Ndivyo ilivyo hata katika taasisi zingine zote sio chama cha siasa tu. Kuna makosa ukiyafanya, huwa hakuna simile, ni kuondolewa with immediate effects a.k.a summary dismissal ili kulinda maslahi ya taasisi na ya watu wema walio wengi kuliko wewe mpuuzi mmoja...

Na huwa yamekwa wazi kabisa kwa tahadhari Ili kila muhusika ktk taasisi hiyo aya memorize na kuyaepuka kuyatenda..!
 
Mwanasheria na Wakili Msomi Pascal Mayalla, imekuwaje umeshindwa kuelewa jambo dogo na rahisi hivi hili...?

Katiba ya CHADEMA haimzuii mwanachama yeyote kutafuta haki yake mahakamani. Hata mleta mada DR Mambo Jambo hajasema mwanachama anazuiwa kutafuta haki yake mahakamani...

Isipokuwa, mwanachama anaweza tu kwenda mahakamani iwapo atakuwa amesha exhaust njia na taratibu zote za kichama kutafuta haki yake na kote huko akaikosa..

Huyu ndugu Saidi Issa Mohamed na wenzake hakuna kumbukumbu walizowahi kuziweka wazi kuonesha kuwa walishatafuta hiyo wanayosema ni "haki yao iliyonyimwa" kwa kutumia ,machinery za kichama wakakataa kusikilizwa..!

Hawa jamaa hakuna namna unaweza kuweka na kukitafsiri kitendo chao hicho zaidi ya kusema kuwa walikuwa na dhamira na nia ovu ya makusudi kabisa kukihujumu chama wakishirikiana na watu walio nje ya chama especially ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa championed by Sisty Nyahoza

Bila shaka walidhani na pengine walihakikishiwa na wahuni wachache ndani ya taasisi za serikali especially Msajili wa vyama vya siasa & TISS ya mtoto wa Samia Abdul Hafidhi Suluhu kuwa dhamira na nia yao hiyo ingetimia na kufanikiwa with impunity for 100%. Unfortunately for them, things changed unexpectedly...

Nakubalina nawe 109% kuwa "kuna haki maalumu zinalindwa na katiba ikiwemo natural justice ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa" na kwamba kama kuna sheria nyingine yoyote iliyotungwa kui - subdue katiba, basi sheria hiyo inakuwa batili..

Ni sahihi kabisa. Lakini this is not always, not in all circumstances..!!

Kwa mfano, moja ya haki kuu kabisa inayolindwa na katiba kwa nguvu zote ni haki ya kuishi, uhai wa mtu. Lakini zipo sheria zinarihusu mtu kujilinda anapokuwa ktk tishio la yeye kuuwawa vilevile na mtu mwingine. Unaweza kumwahi mtu huyo na kumuua yeye kabla hajakuua wewe na bado ukawa huna hatia hata kama katiba inalinda uhai wa mtu. Ndivyo askari hufanya kwa Majambazi wanaokabiliana nao kwa silaha...

Katika mazingira hayo tusemeje ndugu Pascal Mayalla? Kwamba sheria iliyowapa uwezo wa kuua ktk kujilinda kwao imevunja katiba, Iko juu ya katiba..?

Ndivyo ilivyo hata katika taasisi zingine zote sio chama cha siasa tu. Kuna makosa ukiyafanya, huwa hakuna simile, ni kuondolewa with immediate effects a.k.a summary dismissal ili kulinda maslahi ya taasisi na ya watu wema walio wengi kuliko wewe mpuuzi mmoja...

Na huwa yamekwa wazi kabisa kwa tahadhari Ili kila muhusika ktk taasisi hiyo aya memorize na kuyaepuka kuyatenda..!
Umenena vema mkuu.
 
KWA WASTANI CCM INA WASOMI WENGI KULIKO CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA. TOFAUTI NI KWAMBA CCM HAITOI ROOM YA WASOMI KUONESHA TALANTA ZAO.
Ccm haina tofauti na jkt. Kipindi najiunga na jkt miaka ya 1987 Mafinga, pale getini nilikutana na Mp ambao waliniuliza level yangu ya elimu na baada ya kuwatajia waliniamrisha nichuchumae kisha niruke kichurachura kutoka nje ya geti. Baada ya kuwa nje ya geti nilionyeshwa kichaka na nikaamriwa nichimbe shimo bila kifaa chochote kisha niizike elimu yangu pale baadaye niliruhusiwa kuingia getini kwa mwendo wa kunyakua. Sitosahau hili kwani kwa jinsi mambo yanavyoendeshwa ndani ya ccm juu ya wanataaluma walijiunga nao huwenda wanatendewa kama mimi kuke jkt kwani mps wale hawakuwa wasomi na wanafanana na viongozi wenye nyadhifa za juu huko ccm.
Na kingine, hao wasomi wanashindwqje kuimodify ccm wakiwa ndani?
Au ndio wale wasomi wajinga ambao elimu yao imeshindwa kuwakomboa na kuwaletea maendeleo?
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Ndugu Pascal Mayalla, laiti kama katiba ya CHADEMA toleo la 2006 ni fake kama unavyodai wewe, unafikiri Sisty Nyahoza na Samia Suluhu Hassan walivyo so desperate kuona CHADEMA inafutika katika uso wa Tanganyika wangekuwa wanatafuta makosa ya matamshi ya viongozi wa CHADEMA kwenye mikutano yao ili yawape uhalali wa kuichukulia hatua ikiwemo hicho unachosema "kufutiwa usajili" badala ya Moja kwa Moja kutumia kigezo cha "katiba fake" kuwaadhibu...?

Hebu fikiri vizuri kabla hunena au kuandika...

Kila taasisi inayojiendesha kwa utaratibu, lazima ktk taratibu hizo, for the sake of protecting the institution, ita- pinpoint "the very serious offences" ikiwemo kuweka utaratibu wa wazi wa namna ya kushughulika nayo...

Na makosa hayo yakiwa committed na mmoja au kikundi kidogo cha watu wa taasisi hiyo basi inaweza kuwa inahatarisha maslahi ya members wengi wa taasisi na uwepo wa taasisi yenyewe. Makosa haya ambayo ni very serious, basi hata ushughulikiwaji wake huwa mara zote haufuati taratibu za kawaida za taasisi zenye urasimu wa kuchukua muda mrefu....

Hata serikalini ndivyo ilivyo. Mfano ukiwa kama mwajiriwa wa serikali (public servant), huwezi kupotea kazini mwaka mzima bila taarifa, ukawa automatic umejifukuza kazi mwenyewe eti baada ya mwaka tena ukarudi na kudai "sikusikilizwa", nimerudi kwenye nafasi yangu..!

Vivyo hivyo, haki ya kuishi ndiyo haki kuu kwa mujibu wa katiba na inalindwa kwa nguvu zote. Lakini inapotokea jambazi mwenye silaha aliyekuvamia akuue kisha akuibie, lakini bahati njema "for the sake of self defense" ukamwahi na kumuua yeye kabla ya kukuua wewe, hiyo haiwezi kuwa ni kosa lililovunja haki ya kuishi iliyotajwa na katiba ya jambazi huyo aliyekufa na hawezi kutokea mtu huko akaanza kudai "huyo jambazi hakupewa natural justice ya kusikilizwa kwanza kabla ya kuuwawa...🤔🤔"

Huyu Said Issa Mohamed na wenzake, kabla ya kutenda huo ujinga na upumbavu wao walipaswa kufikiria na consequences zake iwapo mpango wao ungefeli kama ambavyo umeshakufa kifo cha kawaida..

That's to say, they knew exactly what they were doing and also they knew exactly 💯 💯 the consequences of their actions..

It's terrible that, baada ya kufeli, hawataki ku - take risk ya kukubaliana na matokeo...!

Huu ni udhaifu mkubwa wa hawa jamaa na eti ndiye alikuwa one of the top leaders wa CHADEMA chini ya Freeman Mbowe for almost more than 10yrs...

No wonder 🤔, ktk kipindi hiki chote cha uongozi wao, chama kilikuwa stagnant na kupoteza nguvu na umaarufu wakati wote na January 2025 wakafukuzwa kwa sanduku la kura na chama kurudi mikononi mwa wanachama...!

After all, huo mlango wa "natural justice to be heard before being dismissed" ili kujitetea haujafungwa. Kilichofanyika sasa ni kuhakikisha taasisi inalindwa kwanza na sumu ya watu WA namna hii kwa kuwaondoa katikati ya watu wema kabla hawajai-poison na kuleta UHARIBIFU zaidi..

Aidha milango ya machinery zingine za chama kama Kamati kuu, mkutano mkuu nk iko wazi, anaweza kubisha hodi huko Ili kupeleka hoja za utetezi wake...

Akiona huko hataweza kupata haki yake, anaweza kufungua mlango wa mahakama na chama kitamsikilizia huko - natural justice of being heard...

So, he shouldn't think, that is the end of his road. No, it's not yet...

Lakini akumbuke, CHADEMA umeshawahi kuwa na watu maarufu, very influential, wasomi wa kiwango cha juu na wenye akili sana kama Zitto Kabwe, Samson Mwigamba, Prof Kitila Mkumbo and many others. Walitenda makosa yanayofanana au pengine yenye unafuu zaidi kuliko kosa la Saidi Issa Mohamed ambalo kwa kweli ni kosa very serious la lililosababisha hasara kubwa kwa CHADEMA...

Lakini watu hao walifukuzwa kwa namna hii hii na yeye akiwa mshiriki wa vikao vilivyofamya maamuzi hayo kwa kutumia katiba hii hii unayoiita ni "fake"..

Kina Zito, Mgamba, Prof Kitila Mkumbo walidinda dinda wee, wakaenda mahakamani lakini mwisho wa siku waliondoka. Sembuse huyu tutusa asiyejua lolote zaidi ya kukariri Korani na sharia..😕😕??

By the way, kwenye taasisi hizi za hiari ambazo ili uishi na wenzako ni sharti msomane, muwe compatible. Katika scenario hii, inawezekana vipi ukaishi na wenzako wasiokutaka kwenye hiyo taasisi au jumuiya...?

This is just common sense. Lakini shekhe Said Issa Mohamed inaonekana hata common sense hana❌❌
 
Ndugu Pascal Mayalla, laiti kama katiba ya CHADEMA toleo la 2006 ni fake kama unavyodai wewe, unafikiri Sisty Nyahoza na Samia Suluhu Hassan walivyo so desperate kuona CHADEMA inafutika katika uso wa Tanganyika wangekuwa wanatafuta makosa ya matamshi ya viongozi wa CHADEMA kwenye mikutano yao ili yawape uhalali wa kuichukulia hatua ikiwemo hicho unachosema "kufutiwa usajili" badala ya Moja kwa Moja kutumia kigezo cha "katiba fake" kuwaadhibu...?

Hebu fikiri vizuri kabla hunena au kuandika...
Mwaka huo 2006, ofisi ya Msajili haikuwa na watu competent to scrutinise katiba za vyama, hivyo ikiisha pitishwa, haiwezekani kuiibua tena sasa!.
Kina Zito, Mgamba, Prof Kitila Mkumbo walidinda dinda wee, wakaenda mahakamani lakini mwisho wa siku waliondoka. Sembuse huyu tutusa asiyejua lolote zaidi ya kukariri Korani na sharia..😕😕??
Aliyekwenda mahakamani ni ZZK only!.
This is just common sense. Lakini shekhe Said Issa Mohamed inaonekana hata common sense hana❌❌
True
P
 
Wanasheria wa Chadema wamfungulie kesi ya madai alipe hasara aliyoisababishia Chadema kipindi wamefungiwa kufanya shughuli zao za kisiasa, chapo ni kapuku hana uwezo wa kulipa hata milioni moja lakini aonje ladha ya kushitakiwa
Kabisa hatakiwi wamuachie yaishe hivi hivi ,afunguliwe kesi ya madai chap kwa haraka.
 
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

Kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

Kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.

Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
Niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
Said Mohamed alitumwa Kuimaliza CHADEMA ya Watanganyika lakini amefeli pakubwa. Sasa wamemtuma Simayi na Sada
 
JMT!

Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa bado anahisi utaratibu haukufuatwa wa yeye lkutolewa uachama hapa chini nimekuandikia sababu halali za kikatiba kwanini kusimamishwa uanachama bila kufuata taratibu za kawaida.

Kama mwanadiplomasia au mfuatiliaji wa Maswala ya siasa na sheria naomba kuweka na kutia kijineno..

Kwanza tukirejea Uamuzi wa kumfukuza Ndugu Said Issa Mohammed kulingana na Taarifa kwa Umma ya tarehe 07 Juni 2026 iliyotolewa na Katibu wa Kanda ya Pemba, Abdulla Hassan, una uhalali kamili wa kikatiba.

Twende deep sasa Hapa chini za kikatiba na kikanuni zinazothibitisha kwanini hakuwa na sifa ya kupewa haki ya kusikilizwa ya kawaida (Natural Justice):

1. KUKIMBILIA MAHAKAMANI NI KUJIFUKUZISHA UANACHAMA

CHADEMA ina taratibu zake za ndani za kusikiliza na kutatua migogoro. Kitendo cha mwanachama kukimbilia mahakama za serikali kabla ya kumaliza ngazi hizo kinamnyang'anya sifa na haki zote za kulindwa na Katiba ya chama.
  • Ukisoma Katiba ya Chadema ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2019 ,Mwongozo wa Kamati za Maadili ya Chama, Sehemu ya E (Hatua za Kinidhamu), Kipengele cha 2 (x) kiko wazi:

    “CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atakuwa amejifukuzisha uanachama.”
Hiyo inamaanisha nini, bwana Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama yeye mwenyewe kwa matendo yake. Huwezi kudai haki ya kusikilizwa kama mwanachama wakati Katiba inatafsiri kuwa ulishajiondoa kwenye chama siku ulipofungua kesi.

2. MAMLAKA YA DHARURA YA KULINDA CHAMA (DOCTRINE OF NECESSITY)

Kufungua kesi mahakamani na kusababisha hasara ama kukwamishaa uendeshaji wa shughuli za chama kinahesabika kuwa ni kosa kubwa la Usaliti na Hujuma.

Chini ya Mwongozo wa Maadili, Kipengele cha 3 (a)(i) na (vii) , matendo ya "kupanga njama za kuhujumu Chama" na "kuhujumu programu za Chama" yanatafsiriwa kama usaliti mkubwa unaoondoa haki ya kusubiri taratibu za kawaida.
  • Katika mazingira ya hujuma ya wazi, Kanuni za Chama, Sura ya Sita, Kifungu cha 6.5.1 (d) inatoa mamlaka ya dharura:

    “Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu [vya kupewa mashitaka ya maandishi na kusubiri wiki mbili za kujibu] kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa...”
3. UHALALI WA KIKAO NA MAMLAKA YA NIDHAMU
Hatua hiyo iliyochukuliwa na Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba chini ya Mwenyekiti wa Kanda, Omar Nassor, tarehe 06 Juni 2026, inaendana na mgawanyo wa madaraka ya kinidhamu ndani ya chama.
  • Chini ya Ibara ya 6.3.6 (a)(v), Kamati Tendaji ya Kanda ndiyo yenye Mamlaka ya Nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya mkoa.
Niseme tu hata kwa sisi CCM tuliwahi kuyafanya haya , Mwanachama hawezi kuivunja na kuisafiria nyota Katiba ya chama kwa kuandikisha kesi mahakamani, kisha akageuka na kudai Katiba hiyo hiyo imlinde kumpa haki ya kusikilizwa ya kawaida. Said Issa Mohammed amejifukuzisha uanachama kisheria na tangu tarehe 06 Juni 2026 si mwanachama tena wa CHADEMA wala hatambuliki katika ngazi yoyote.
Na hapo ndio utashangaa maana na dhana nzima ya neno "DEMOKRASIA" na kujiuliza Chadema wanapigania demokrasia kweli ama?
 
Mkuu DR Mambo Jambo , kwanza naunga mkono hoja zako kuhusu huo ndio utaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, ila utaratibu huo ni kinyume na katiba ya JMT, hivyo katiba ya Chadema ni batili!, Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa . Katiba ya JMT, ndio sheria mama, kama katiba inasema haki inapatikana mahakamani, kipengele chochote cha taasisi yoyote inayozuia mtu kutafuta haki yake mahakamani, ni batili, kinyume na katiba!. GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
Katiba ya Chadema iwe na kasoro kama hiyo halafu yule Nyahoza anayetishia kuifuta Chadema kila siku asiijue hiyo kasoro ili aitumie kumfurahisha bosi wake!
 
Back
Top Bottom