Mtu yyote mwenye mapenzi mema na Klabu ya Yanga atamuunga Kocha Zahera kwa asilimia mia moja. Ni vema akatafuta klabu nyingine na siyo Yanga. Wachezaji wangapi wanaidai Yanga. Yeye alifikiria akigoma hakuna wa badala yake na Yanga kufungwa mabao kama mvua. Kocha Zahera fyekelea mbali huyu Kakolaya. Bila Yanga asingefahamika kama Kakolanya wa leo.