magagagigikoko
Senior Member
- Nov 13, 2017
- 166
- 167
Nasikiliza BBC Dira ya dunia jioni hii, binafsi nasikitika nikijiuliza ni watu wangapi wanatusikiliza ktk upuuzi huu.
Sina tatizo na uamuzi utakaotolewa, ninahitaji kusikia reasoning ya mahakama itakayosababisha watanzania waone kuwa haki imetendeka. Mpk sasa wengi wanaona kuna mtu amejifanya kuwa yeye ndiye katiba ya nchi, Sheria na mahakama.
Sina tatizo na uamuzi utakaotolewa, ninahitaji kusikia reasoning ya mahakama itakayosababisha watanzania waone kuwa haki imetendeka. Mpk sasa wengi wanaona kuna mtu amejifanya kuwa yeye ndiye katiba ya nchi, Sheria na mahakama.