Uamsho watawanywa kwa nguvu na FFU viwanja vya Malindi ZNZ

nidhamu ni kufuata sheria na kutii taratibu au miongozo iliyowekwa! hivi hawa watu wa uamusho ni watu gani hasa mpaka wanachoamini wao kiwe ndicho sahihi tu na siyo kingine> uamsho upo kwa madhehebu yote iwe ya kiislam ama kikristo lakini siyo kwa namna hii, nashawishika kusema serikali ichukue hatua madhubuti hata ikiwezekana kuwashughulikia kwa hali na mali hawa ni alshababu kwa jina jingine? swala la kuzama kwa meli au ajali si chanzo na wala si wakati muafaka kufikia huko badala ya kushirikiana na serikali yao kuweza kuona namna ya kujipanga na namna ya kurekebisha kasoro zetu, nashawishika kusema kuwa uamsho wanaweza kuwa na sehemu kwenye ajali hiii. na ndiyo wanakuja na conclusion inayofanana na mipango yao
Acha ushabiki usiokua na maana, watu kuwaombea dua waliokufa ni kosa au hadi upate kibali? wamefuatwa msikitini.
 
Muhimu kulielewa katika hili, hawa polisi si wa-Zanzibar ni Askari wa Serikali ya Muungano na wengi wao ni wa Bara, siwezi kujua udini wao ila wanapokea amri kutoka kwa mamlaka ya Serikali ya Muungano (au tuseme serikali ya bara). Askari pekee wa Serikali ya Mapinduzi ni wa KMKM ambao sijui uwezo wao. My tyake.... je kikundi chqa uamsho kina naraka za viongozi wa se3rikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kutetea maslahi ya Zanzibar?
 
isee hali sio nzuri

Picha kwa hisani ya Godwin mwaipembe

znz6.jpg



hII YOTE NI KUTAKA WALALE SIYO
 
Acha ushabiki usiokua na maana, watu kuwaombea dua waliokufa ni kosa au hadi upate kibali? wamefuatwa msikitini.

Dua? sawa bwana hata alshababu, alcaeda, na wengine wote walianza kwa imani na baadaye wakafanya matengenezo (modification) ya imani zao na kuwaona wengine wote wahalifu cha msingi hakuna mwehu wa kukufuata msikitini wala kuchoma makanisa, wala kuchoma baa za watu, bado ulivyo mtumwa wa siasa na imani modified umeendelea kuona huna kibanzi
 
Ntugwa mimi nina wasiwasi na wewe huenda ukawa ni barazuli uliyepea au kuadi huku kwetu twaita mchicha mwiba! mwandawazimu mzanzibar mmoja ni bora kuliko wasomi 100 wa kitanganyika! angalieni ufukara ulivyo wabana , mume kosa radhi za muumba ulimwengu mutakufa humo humo mabaa na kuabudu ujambazi! katu wazanzibari hatulingani nanyi! licha ya uchache wetu tunaheshimika kwa ukarimu , na uaminifu wetu! katu nchi hii haitokuwa mkoa licha ya wilaya ya tanganyika! umelewa nini? angalia wanaume wanapita njiani hapo! wasije wakakuhemea!
 
Back
Top Bottom