uamsho waibuka rasmi adhuhuri leo

Mandi

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
382
65
lengo ni kuitetea zanzibar kua huru.kundi hilo lilobahatika nakua na wafuasi wengi zanzibar limetoa tamko rasmi leo adhuhur katika msikini wa mbuyuni mjini magharibi zanzibar juu ya kuitaka zanzibar kua huru.
 
lengo ni kuitetea zanzibar kua huru.kundi hilo lilobahatika nakua na wafuasi wengi zanzibar limetoa tamko rasmi leo adhuhur katika msikini wa mbuyuni mjini magharibi zanzibar juu ya kuitaka zanzibar kua huru.

sasa kama wanataka kuitetea zanzibar msikiti wa nini?/
na uislam wanaoutumia hapo unahusika vipi??
ndivo unavoamrisha ivo??
hawana shule,,wanasumbua sana hawa jamaa
 
hili ni bomu na ndo linakaribia kuexpire soon litalipuka naiona mbagala /gongo la mboto iyoooo
 
99% ya wazanzibari ni muslims,,, may be wakaamua kutumia msikiti.
Ila kwa msikiti wa mbuyuni ni ngome ya c.u.f so wameamua kutumia masjid coz kisiasa wasingefanikiwa
 
hili ni bomu na ndo linakaribia kuexpire soon litalipuka naiona mbagala /gongo la mboto iyoooo
May i differ with you.
Sioni bomu lolote hapa. Ni high time kumjua huyo aliyetangaza hilo na kudeal naye squarely! Wapuruzi wawili watatu hawawezi kutukosesha usingizi.

Weka ndani wote na masharti magumu kabisa ya dhamana, maana ni wahaini hawa.

Enzi za Mwalimu watu wa hivi walipotezwa kimyakimya.m
 
May i differ with you.
Sioni bomu lolote hapa. Ni high time kumjua huyo aliyetangaza hilo na kudeal naye squarely! Wapuruzi wawili watatu hawawezi kutukosesha usingizi.

Weka ndani wote na masharti magumu kabisa ya dhamana, maana ni wahaini hawa.

Enzi za Mwalimu watu wa hivi walipotezwa kimyakimya.m

umenikumbusha baba mmoja niliwah kukutana nae mitaa ya posta hapa dar akanisimulia kisa cha maisha yake na jinsi ambavyo Mwl alimuwajibisha lolest! ameishia kuish maisha ya dhiki hadi leo.
 
Sasa hii nayo ni habari?

Nyie wapemba hamchoki kumchokonoa Kamanda Mussa. Kaeni mkijua kuwa dhamana kule ni mpaka udhaminiwe na mfanyakazi wa serikali. Tena sasa hivi inabidi awe mfanyakazi wa Jamuhuri, pambaf
 
99% ya wazanzibari ni muslims,,, may be wakaamua kutumia msikiti.
Ila kwa msikiti wa mbuyuni ni ngome ya c.u.f so wameamua kutumia masjid coz kisiasa wasingefanikiwa

Hiyo sensa iliyokuja na hizi data mnazozitaja kila siku mmefanya lini?
 
Kwanini msikitini na siyo kanisani..

Msikini kuna Amani hata yetu Ibada na mikusanyiko yake alikua anaifanya katika Masinagogi (Misikitini) lakini tunaogopa tukikusanyika makanisani tutapata FARAKA kama ilivyotutahadharisha Biblia!
 
umenikumbusha baba mmoja niliwah kukutana nae mitaa ya posta hapa dar akanisimulia kisa cha maisha yake na jinsi ambavyo Mwl alimuwajibisha lolest! ameishia kuish maisha ya dhiki hadi leo.

Huyo jamaa hadi leo anaishi maisha ya 'DHIKI' lakini je Mwalimu wako Nyerere yeye yuko wapi? Am sure he is in the HELL.
 
Back
Top Bottom