Viongozi wa kikundi cha kiislamu cha uamsho cha zanzibar wamefikishwa tena leo ktk mahakama ya mwanakwerekwe znz na kururudishwa rumande kwa kuendelea kukosa dhamana.
Wakili wao ameendelea kulalamika kutokana na wateja wake kuendelea kunyimwa dhamana,
ktk hali nyingine wakati viongozi hao wakitoka mahakamani walitamka maneno yafutayo (mnataka muungano? Walikuwa wanawauliza baadhi ya wafuasi wao waliojitokeza, na wale wafuasi walijibu hawautaki muungano!
Itv habari
Wakili wao ameendelea kulalamika kutokana na wateja wake kuendelea kunyimwa dhamana,
ktk hali nyingine wakati viongozi hao wakitoka mahakamani walitamka maneno yafutayo (mnataka muungano? Walikuwa wanawauliza baadhi ya wafuasi wao waliojitokeza, na wale wafuasi walijibu hawautaki muungano!
Itv habari