Maneno yao hapo sikiliza.....Inatisha. Muungano umekwisha, waachani hawa watu waende wanapandikiza chuki mbaya kwenye kivuli cha Udini. Kwa mwendo huu, muungano umekufa
- Dhulma ya Tanganyika litan'gooka sasa. Tuko Tayari kwa kila kitu, hili swala tumelivaa kiimani. Hatuwezi kulipata nchi bila kuingiza Uislamu.
- "Tunadai Zanzibar yetu Kwenye makucha ya Tanganyika Kiimani sasa"
- Akitajwa Kiongozi Mwislamu hata kama katukera, tusimlaani. Wakitajwa wale makafiri, Jina lake mpaka litafute Juisi.
- Umuhimu wa Waislam kuwa na nchi yao, kuilinda na kuitetea nchi yao.
- Je Kwani mnanchi nchi? Nchi yenu imeibiwa na Wakristo
- Tusikubali utawala wa watu makafiri wababe, kama nabii rasul Musa. Tunataka taifa letu
- Njia tu ya kupigania uhuru ni Jihad. Lazima tupigane kama watu wadini
- Wabara wapumbavu, wamezoea kuingia mikataba ya kijinga ya kunufaisha mafisadi na wageni. Sisi hayo hatutayakubali. tunaitaka nchi yetu
- Mkiombwa kupigana kwa ajili ya nchi yenu mko tayari? Kwa maana mnayoyataka inafika muda mnalazimika kupigana
- Mnakufa kwa maradhi yanayotibika
- Tukifa sisi bila kuwapa nchi, vizazi vyetu vitakuwa wakiristo !
- Tunayemtaka ni jemedari wa kutuongoza kuikomboa nchi yetu
- Watanganyika na wakristo ni wezi, wanaiba matrillioni. Wamepandikiza chuki na wizi wao kwenye mashirika ya umma. Kila wizara na taasiri inanuka ufisadi. hatutaki muungano
- Baadhi yao wanajifanya kuzungumzia wanzanibari kuhusu muungano. Waacheni wanznibari wajiamulie, njooni hapa muuwailize wanzibari kama wanautaka huo muungano wenu.
[video=youtube_share;xXMONXpT5k M]http://youtu.be/xXMONXpT5kM[/video]
[video=youtube_share;RHYJADVg4x Y]http://youtu.be/RHYJADVg4xY[/video]
[video=youtube_share;870Wy0I8lUc]http://youtu.be/870Wy0I8lUc[/video]
[video=youtube_share;a1XSP0ClhSY]http://youtu.be/a1XSP0ClhSY[/video]
"tatizo hilo jina Tanzania Visiwani, hatulitaki hata kulisikia, ni Zanzibar! ilikuwa na itakuwa, muungano feki bye bye, mpango wetu unaenda vizuri kabisa, si muda mrefu kitaeleweka!"
una majini mangapi shekhe