Kwanza karibu sana JF paka nyau...
kuhusu uaminifu,ungetupa data za utafiti wako ingekuwa vyema zaidi kwani ungeonesha wanaume ni wahuni kiasi gani kuliko wanawake...
Sidhani kama hili ni jukwaa la kujadili mambo ya kimahusiano, sioni uhusiano wake na JF Doctor...Karibu Paka Nyau hapa JF (naona ni post yako ya kwanza) lakini jukwaa husika la mada yako hii ni MMU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.