Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
wadau tufunguke kuhusu nani kati ya mume na mke anayesababisha kutoweka kwa uaminifu katika ndoa, ambazo tunazishuhudia zikiwekwa nadhiri za uaminifu kwa mbwembwe na matangazo ya kutosha.
Je kosa linaanza lini wakati wa uchumba, baada ya kuoana au baada ya miaka kupita?
Je walaumiwe walezi wao, au mawifi na mashemeji ndugu au ni marafiki zao?
Tujitahidi kuwa wakweli.
Je kosa linaanza lini wakati wa uchumba, baada ya kuoana au baada ya miaka kupita?
Je walaumiwe walezi wao, au mawifi na mashemeji ndugu au ni marafiki zao?
Tujitahidi kuwa wakweli.