Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

Kahamba

Member
Nov 1, 2010
58
16
Katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "Siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na nimemchagua mwenyewe". Ajabu ni jinsi nilivyoshambuliwa na wasikiizaji wangu, (wenye ndoa na wasio na ndoa) kuonyesha kutokubaliana nami huku wakisema "Unayasema kwa kuwa tu umeoa juzi".

Sasa naomba msaada wemu wadau, je, Inawezekana kuwa na mwanandoa mwaminifu 100%? Na kama ndiyo, ni wangapi ktk 100?
 

Rose1980

JF-Expert Member
May 10, 2010
5,685
1,284
inawezekana san
kuna wanaume na wanawake ambao ni waaminifu sana
-kuiga ndo kunasumbua siku izi wanawake na wanaume wanaona kuswap nje ni km fashen vile usipokuwa na nyumba ndogo unaonekana km mshamba vile...
-UKIMCHAGUA EVA WAKO /ADAMU WAKO BILA SABABU ZA MATERIALS(ukimpata wa real love nawe ukampenda kwa dhat) BASI utaona anakutimizia maitaj yako yooooooooooote so haina haja tena ya kwenda nje
 

The Finest

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
21,607
5,970
katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na nimemchagua mwenyewe". Ajabu ni jinsi nilivyoshambuliwa na wasikiizaji wangu, (wenye ndoa na wasio na ndoa) kuonyesha kutokubaliana nami huku wakisema "unayasema kwa kuwa tu umeoa juzi".

Sasa naomba msaada wemu wadau, je, inawezekana kuwa na mwanandoa mwaminifu 100%? Na kama ndiyo, ni wangapi ktk 100?

possible 100%
 

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "Siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na nimemchagua mwenyewe". Ajabu ni jinsi nilivyoshambuliwa na wasikiizaji wangu, (wenye ndoa na wasio na ndoa) kuonyesha kutokubaliana nami huku wakisema "Unayasema kwa kuwa tu umeoa juzi".

Sasa naomba msaada wemu wadau, je, Inawezekana kuwa na mwanandoa mwaminifu 100%? Na kama ndiyo, ni wangapi ktk 100?

?! Wapo waaminifu na kadiri maisha yanavyokenda wengind wanashindwa
 

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
Wanawake wakianza kuvaa baibui na kuacha kuvaa vimini na tight trousers basi wanaume wengi hawatashawishika kirahisi kuchapa out
Wanaume wakijishughulisha saana katika kutafuta mshiko na kufanya mazoezi ya kutosha badala ya kukaa bar na kutandika kilaji baasi wanawake wengi hawata washawishi kirahisi
 

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
inawezekana san
kuna wanaume na wanawake ambao ni waaminifu sana
-kuiga ndo kunasumbua siku izi wanawake na wanaume wanaona kuswap nje ni km fashen vile usipokuwa na nyumba ndogo unaonekana km mshamba vile...
-UKIMCHAGUA EVA WAKO /ADAMU WAKO BILA SABABU ZA MATERIALS(ukimpata wa real love nawe ukampenda kwa dhat) BASI utaona anakutimizia maitaj yako yooooooooooote so haina haja tena ya kwenda nje

Hawezi kukutimizia yooote kwa wanadamu tumeumbwa na mapungufu...jamani wakitulia na wake zao akina mama kubwa sie soko litakufa
 

Rose1980

JF-Expert Member
May 10, 2010
5,685
1,284
inawezekana
inawezekana
wapo
wapo
wapo
km haujawai ona bas pole
kuna watu si mapadre na wala si masista lakin wana ucha mungu+wanamuogopa mungu kiukweli so hawez akaitenda dhamb i
-kuna watu wanapendana kiukweli..na ukimpenda mtu kiukweli autopenda fanya lolote la kumuumiza (ATA KM HATOJUA KM UMESWAP NJE)..
WATU HAWA WAPO WAAMINIFUUUUUUUUUUUUUU MPK RAHA....
 

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Wanawake wakianza kuvaa baibui na kuacha kuvaa vimini na tight trousers basi wanaume wengi hawatashawishika kirahisi kuchapa out
Wanaume wakijishughulisha saana katika kutafuta mshiko na kufanya mazoezi ya kutosha badala ya kukaa bar na kutandika kilaji baasi wanawake wengi hawata washawishi kirahisi

Kwani wanaotoka nje ya ndo ni wanawake au? We hatauone nini kama mwaminifu utabaki hivyo tamaa kama ipo hata sabuni utatumia
 

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,273
1,021
inawezekana
inawezekana
wapo
wapo
wapo
km haujawai ona bas pole
kuna watu si mapadre na wala si masista lakin wana ucha mungu+wanamuogopa mungu kiukweli so hawez akaitenda dhamb i
-kuna watu wanapendana kiukweli..na ukimpenda mtu kiukweli autopenda fanya lolote la kumuumiza (ATA KM HATOJUA KM UMESWAP NJE)..
WATU HAWA WAPO WAAMINIFUUUUUUUUUUUUUU MPK RAHA....
tunaomba uzoefu wako hapa ''praktikale''

mambo ya KUNA WATU....!hatutaki
 

Kituko

JF-Expert Member
Jan 12, 2009
9,558
9,281
wanawake wanaweza kuwa 100% LAKINI KWA WANAUME NGUMU SANA, anaweza asiwe na nyumba ndogo, lakini anakuwa anagongagonga vibata vinavyojitokeza, mimi huwa naziita kazi za nje,
 

Rose1980

JF-Expert Member
May 10, 2010
5,685
1,284
Hawezi kukutimizia yooote kwa wanadamu tumeumbwa na mapungufu...jamani wakitulia na wake zao akina mama kubwa sie soko litakufa
hahha hahha aya mama
mimi siwez kukubishia wewe mbwiga yangu .....soko litakufa siyo?apana bwana wachache ni waaminifu lakin weng wao ndo ivo vidig dig vnaruka ruka tu..
KWAN FINEST HAAMINIK?
unarud ln?
 

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
Hawezi kukutimizia yooote kwa wanadamu tumeumbwa na mapungufu...jamani wakitulia na wake zao akina mama kubwa sie soko litakufa

Mmm pana ka ukweli hapo maana niliwahi msikia binti mmoja anasema " Na siye tulale na nani, ama tulale na MBWA" eeeh
 

njiwa

JF-Expert Member
Apr 16, 2009
12,042
4,961
Katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "Siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na nimemchagua mwenyewe". Ajabu ni jinsi nilivyoshambuliwa na wasikiizaji wangu, (wenye ndoa na wasio na ndoa) kuonyesha kutokubaliana nami huku wakisema "Unayasema kwa kuwa tu umeoa juzi".

Sasa naomba msaada wemu wadau, je, Inawezekana kuwa na mwanandoa mwaminifu 100%? Na kama ndiyo, ni wangapi ktk 100?

inshort LOVE & TRUST ni ngumu sana.. ila inawezekana kama mkifanana "KITABIA"
 

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,273
1,021
kumekucha!!!!!!
me n st roy!!!!!!
nimekujibu??????
sema ukweli bwana!....
hiyo mambo ya KUNA.......KUNA......!not real
shusha dataaz as per your exiperience kwenye ndoa yako.

roya sio muoaji,na hajawahi kuoa!kama alikwambia amekuoa amekudanganya....!ni hawara ako tu yule
 

Rose1980

JF-Expert Member
May 10, 2010
5,685
1,284
awe na ndoa ngap jaman?
ni mimi na yeye tu ndo tuna ndoa
ivi tulisahau kukupa kad eennh
mweee tusamehe
dig dig mwenzako alkuja...ajakupa salam?
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom