mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,856
Baada ya TBC kwa sasa nu ITV,Wakome na hatuwataki tena,wasituzoweey.kimsingi vyombo vyote vya habari nchi hii vina mambo ya kijinga ITV wakishika namba 2.
Baada ya TBC kwa sasa nu ITV,Wakome na hatuwataki tena,wasituzoweey.kimsingi vyombo vyote vya habari nchi hii vina mambo ya kijinga ITV wakishika namba 2.
Labda wamewatukana kama walivyofanya kwa TBCITV ndio ulikuwa TV pekee inayotoa taarifa za mikutano yote ya kampeni kwa uhalisia na uwazi lakini jana, leo na siku moja huko nyuma waliacha kutoa taarifa za mikutano ya Lissu kwanini?
Tuliona hivyo Lissu alivyokuwa Chato, Pemba na leo Kusini.
Tujadiliane nini haswa kwa mabadiliko haya?
Mpaka sasa bado namsifia na ninafanya njama kumhamishia Chadema Mediaendelea tu kuwasifia kama hapo awali, nakumbuka juzi umepandisha uzi ukimsifu mtangazaji wa kituo hicho hicho,sasa kiko wapi mkuu??
Tutaelewana tu, ITV wamekosa cha kuripoti sababu lisu kila siku maneno yale yale"nitaingiza watu barabarani" wamechokaa
#any way kwa kuwa mmewakosoa kesho tune itv wataripoti japo kwa shingo upande!!😂😂
Mwambieni Magufuli mwaka huu atafute nchi ya kukimbilia, udikteta wake umefikia kikomoAnaapishwa Ubelgiji au?
Ataapishwa Dar es Salaam-TanzaniaAnaapishwa Ubelgiji au?
Dar es salaam ya unyoko!! pambaf!!Ataapishwa Dar es Salaam-Tanzania
Na shukuru umelitambua hiloAnaapishwa singida mashariki
Mbona Meko wakati anamtukana yule mama,unataka upanuliwe wapi?,mbele au nyuma walionesha,hayo sio matusi.Itv ni brand, haiwezi kutangaza habari za matusi, itajiharibia kwenye biashara
Na ule wa chato aiseeHaijafahamika sababu iliyowapelekea kufanya jambo hilo la kuhuzunisha, lakini sasa ni siku ya pili mfululizo tangu taarifa za mikutano mikubwa ya Tundu Lissu kutooneshwa na kituo hicho
Kuwa na adabu,niko na mama yako hapa nimefunga taulo.Dar es salaam ya unyoko!! pambaf!!