U-turn 5 za Rais Samia kutoka kwa Hayati Magufuli

1. Skana ya bandari ya Dar
2. Skendo ya bandari ya Bagamoyo
3. Hospital na Muhimbili na MRI scanner
4. Upigaji na ufisadi wa viongozi kwa mali za umma
5. Watumishi na wanachuo hewa
6. Mikataba mibovu (madini, ardhi, gesi, biashara, nk)
7. Skendo za UVIKO-19 na related package za mikopo
8. Miradi mikubwa: JNHPP, miundombinu ya barabara na treni ya umeme, huduma za maji, shule, hospitali, na vituo vya jamii, taasisi muhimu kama vile mahakama ya mafisadi, Kituo cha Mabasi cha Magufuli Mbezi Luis, barabara za kisasa, kujengwa kwa mifugale (flyovers) bora na ya kisasa, daraja la Salender
9. Uwajibikaji serikalini (kesi zilikuwa zinacheleweshwa makusudi ili mafisadi wapige dollaz)
10. Mgawanyiko ndani ya Sisiemu ukadhibitiwa, Sisiemu ikafufuliwa
11. Ukaguzi na uhakiki wa mali za umma na mali za chama
12. Wale watumishi wa milioni 17 kwa mwezi na mishahara ya watumishi kibao kwa mtu mmoja
13. Migogoro kibao ya ardhi
14. Issue ya ^Unajua mimi ni nani^
15. Rander na usafiri wa anga
16. Ujenzi na ukarabati wa meli
17. Kufutwa kwa UTITIRI wa tozo na kodi kandamizi kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa
18. ^Uza, Toa Risiti; Nunua, Dai Risiti!^
19. Madawa ya kulevya
20. Safari kibao za nje zisizokuwa na tija kwa taifa
21. Marupurupu na posho za kamati zinazoundwa ili kuchunguza ripoti ya kamati iliyoundwa kufuatilia utekelezaji wa kamati ndogo kwenye mradi fulani!
22. Siasa za kujitegemea kuliko kukopa tuu kwa ajili ya maendeleo.
23. Ufufuaji wa viwanda kama msingi na ukuta na mhimili wa maendeleo hilimivu.
24. Hakuna tena mikopo kucheleweshwa kwa wanachuo, eti hadi waandamane.
25. Sera ya ^Hili tunalimaliza hapahapa!^
 
Na kuapisha watendaji wa serikali Chato nayo ni kazi nyepesi nyepesi....! kumbuka alipokuwa Chato kuna baadhi ya watendaji wa serikali nao walipiga kambi hapo wakijilipa miposho...Wote ni wale wale kasoro nyakati tu!
Yule alienda kwa kipindi kifupi katika miak 5 katika utawala wake na kulikua na sababu yak covid.
Sasa sahizi vikao Dar badala ya Dodoma kuna sababu gani ya msingi!????

Watanzania sisi tuna safari ndefu sana ya kuchambua mambo ndio maana rungu limeshikwa na mtu dhaifu ila tunakenua tu meno.
We are very foolish.!
 
Nani alikuwaambia alikuwa likizo...alikuwa anapokea wageni wa kimataifa kule Chato na hiyo ni kazi rasmi ya mkuu wa nchi..kumbuka wageni kutoka China walilazimika kwenda Chato...ilipohojiwa tukajibiwa kuwa Ikulu ni sehemu yoyote anapokuwa Rais so hata Chato tuliambiwa kuwa ni Ikulu Ndogo!!!!!
Ogopa sana saa kukaa mwilini
 
HUYU MAMA MM BINANSI SIMPENDI HATA KODOGO, KIASI NIKIONA HATA BANGO LAKE NATAZAMA PEMBENI
 
offcoures alikuwa likizo na akiwa likizoanafanya kazi nyepesinyepesi kama hizo kupokea wageni..Hata samia kuwa zanzibar kwa mapumziko ni sawa lakini kuhamishia kazi Dar hiyo siyo sawa kwani inafanya mawaziri wanashida Dar na wanajilipa mapesa mengi sana
Hili pia ni kosa la jiwe kuhamisha makao makuu kutoka dar kwenda dodoma
 
1. Kufanya Safari za nje kutembeza bakuri kuomba misaada na mikopo.
Aisee hii iliumiza sana watu wa chini, nchi ilikuwa na matabaka walionacho na wasionacho unakumbuka kina zitto wakapiga kelele vyuma vimekaza na hela kupotea mifukoni ilisababishwa ni hii kitu kujafanya unamudu maisha ya nchi yako kumbe huna kitu
Moja ya jambo ambalo Magufuli alilipiga vita ni safari za nje kwa maafisa wote wa serikal isipokuwa kwa kibari maalum.
Magufuli hakutak kwenda kujipendekeza kuomba mikopo na misaada nje kwani aliamini kuna hatari ya kupewa masharti magumu ya mikopo ikiwemo kuwekeza dhamana madin na kusaini mambo machafu kama mambo ya ushoga n.k
Hii ilifanya nchi zenye nia ya kutusaidia kuja wenyewe hapa nchini na kufanya makubaliano mbalimbali ikiwemo mikopo na uwekezaji chanya kwa ajili ya maendeleo kwa taifa letu.

2. Sheria ya mwanafunzi kupata ujauzito akiwa shule.
Hili lilikuwa tatizo pia mpaka baadae serikali ilibidi waseme watarudi shule mana kuna hela zilikwama kule World bank kina zitto waliandikia wasitoe hela kwanza mpaka watoto warudi shule ndio wapate hela., Jpm alikuwa ovyo sana
Magufuli alikataa kumruhusu mwanafunzi kuendelea na elimu rasmi baada ya kupata mimba. Wengi baada ya kujifungua waliondok shule za serikali waliendelea private schools au kufanya mitihan kama private candidate.
Rais wa sasa tumeona akiruhusu watoto wakipata mimba bahati mbaya wakijifungua warud shule kuendelea na masomo rasmi.

3. Gharama za maisha kwa watu wa hali ya chini.
Hakuna jitihada hela mifuko ni ilikuwa ni shida na vyuma vilikaza sana wafanya biashara walivunjiwa na kuibiwa fedha zao za kigeni kibao matajiri walitekwa hali ilikuwa mbaya sana sasa kwa mama angalau watu wanashusha pumzi

Alijiimarisha kule kwao kwa kujenga Airpot na jamaa zake wote aliwapa vyeo alikuwa mbaguzi kwa hali zote
Magufuli alijitahidi kupunguza ukali wa maisha kwa;
-kupunguza gharama za kuingiza umeme kutoka laki 3 mpaka 27 elfu.
-kuto weka matozo na kodi lukuki.
-Gharama za maisha kuwa chini mfano, petrol magufuli amekufa ilikua 1800/L sahiz 2573/L kwa mkoa niliopo. Hii imesababisha gharam za vitu vingi kupanda bei hususan vifaa vya ujenzi.
Bila kusahau bei ya mbolea, mzee katutoka tukinunua 65000/=mbolea ya kupandia sahiz inauzwa 115,000/=

4. Stahiki za wafanyakazi,
Jpm ameondoka madarakn watumishi hawajapanda madaraja kwa miaka zaid ya 5, lkn Samia ndani ya miezi michache kawapandisha madaraja angalau wanafuta machozi na kupata moral ya kazi.

5. Kutatua kero za wananchi.
Hakuna kilichotatuliwa alikuwa anapokea majogoo njiani karibu na uchaguzi kwa kutaka sifa za kuchaguliwa tena 2020, ilikuwa ni mambo ya hovyo kabisa
Hivi sasa uozo, uzembe, ubabe na wizi unarudi kwa kasi.
Hapo mwanzo Jpm aliwakosha wananchi wa hali ya chini kwa kwenda kusikiliza kero zao huko huko chini to the ground na kutatua baadhi ya changamoto papo kwa papo na nyingin aliagiza wenye mamlaka kutatua hizo kero.
Hii ilisaidia viongoz wa mikoa, wilaya na halmashauri kuwa makini na kazi zao.
Lakini hivi sasa viongz wengi wanajisahau hawawatendei haki wananchi wa hali ya chini. Hapa nakumbuk mbali walicho nifanyia Tamisemi na utumishi Dodoma Mungu anawaona.


Ebu tujazie U-turn nyingine ulizo ziona zimejitokeza kipindi kifupi baada ya Jpm kututoka.

Note; Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
1. Kufanya Safari za nje kutembeza bakuri kuomba misaada na mikopo.

Moja ya jambo ambalo Magufuli alilipiga vita ni safari za nje kwa maafisa wote wa serikal isipokuwa kwa kibari maalum.
Magufuli hakutak kwenda kujipendekeza kuomba mikopo na misaada nje kwani aliamini kuna hatari ya kupewa masharti magumu ya mikopo ikiwemo kuwekeza dhamana madin na kusaini mambo machafu kama mambo ya ushoga n.k
Hii ilifanya nchi zenye nia ya kutusaidia kuja wenyewe hapa nchini na kufanya makubaliano mbalimbali ikiwemo mikopo na uwekezaji chanya kwa ajili ya maendeleo kwa taifa letu.

2. Sheria ya mwanafunzi kupata ujauzito akiwa shule.

Magufuli alikataa kumruhusu mwanafunzi kuendelea na elimu rasmi baada ya kupata mimba. Wengi baada ya kujifungua waliondok shule za serikali waliendelea private schools au kufanya mitihan kama private candidate.
Rais wa sasa tumeona akiruhusu watoto wakipata mimba bahati mbaya wakijifungua warud shule kuendelea na masomo rasmi.

3. Gharama za maisha kwa watu wa hali ya chini.

Magufuli alijitahidi kupunguza ukali wa maisha kwa;
-kupunguza gharama za kuingiza umeme kutoka laki 3 mpaka 27 elfu.
-kuto weka matozo na kodi lukuki.
-Gharama za maisha kuwa chini mfano, petrol magufuli amekufa ilikua 1800/L sahiz 2573/L kwa mkoa niliopo. Hii imesababisha gharam za vitu vingi kupanda bei hususan vifaa vya ujenzi.
Bila kusahau bei ya mbolea, mzee katutoka tukinunua 65000/=mbolea ya kupandia sahiz inauzwa 115,000/=

4. Stahiki za wafanyakazi,
Jpm ameondoka madarakn watumishi hawajapanda madaraja kwa miaka zaid ya 5, lkn Samia ndani ya miezi michache kawapandisha madaraja angalau wanafuta machozi na kupata moral ya kazi.

5. Kutatua kero za wananchi.

Hivi sasa uozo, uzembe, ubabe na wizi unarudi kwa kasi.

Hapo mwanzo Jpm aliwakosha wananchi wa hali ya chini kwa kwenda kusikiliza kero zao huko huko chini to the ground na kutatua baadhi ya changamoto papo kwa papo na nyingin aliagiza wenye mamlaka kutatua hizo kero.
Hii ilisaidia viongoz wa mikoa, wilaya na halmashauri kuwa makini na kazi zao.

Lakini hivi sasa viongz wengi wanajisahau hawawatendei haki wananchi wa hali ya chini. Hapa nakumbuk mbali walicho nifanyia Tamisemi na utumishi Dodoma Mungu anawaona.


Ebu tujazie U-turn nyingine ulizo ziona zimejitokeza kipindi kifupi baada ya Jpm kututoka.

Note; Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Halafu mtueleze hizo au hizi U - TURN ni POSITIVE au NEGATIVE kwa Taifa na watu wake!?
 
Aisee hii iliumiza sana watu wa chini, nchi ilikuwa na matabaka walionacho na wasionacho unakumbuka kina zitto wakapiga kelele vyuma vimekaza na hela kupotea mifukoni ilisababishwa ni hii kitu kujafanya unamudu maisha ya nchi yako kumbe huna kitu

Hili lilikuwa tatizo pia mpaka baadae serikali ilibidi waseme watarudi shule mana kuna hela zilikwama kule World bank kina zitto waliandikia wasitoe hela kwanza mpaka watoto warudi shule ndio wapate hela., Jpm alikuwa ovyo sana

Hakuna jitihada hela mifuko ni ilikuwa ni shida na vyuma vilikaza sana wafanya biashara walivunjiwa na kuibiwa fedha zao za kigeni kibao matajiri walitekwa hali ilikuwa mbaya sana sasa kwa mama angalau watu wanashusha pumzi

Alijiimarisha kule kwao kwa kujenga Airpot na jamaa zake wote aliwapa vyeo alikuwa mbaguzi kwa hali zote

Hakuna kilichotatuliwa alikuwa anapokea majogoo njiani karibu na uchaguzi kwa kutaka sifa za kuchaguliwa tena 2020, ilikuwa ni mambo ya hovyo kabisa
Umeyazungumza mazuri ya jpm kwa kuyaguza kuwa hasa,

Nimesoma hoja zako zote.

Ipo hivi, suala la vyuma kukazi lilikua neno la kisiasa lkn ukweli ni kwamba, kwa mtafutaji wa ulikua huwezi kukosa pesa mfukoni, mimi mwenyw ni dereva boda ilikua nikiweka lita moja ya mafuta 1800 nilikua naingiza elfu 10,000 kwa sasa napata elfu 6 mpaka 7.
Per day nilikua na hustle naingiza 20 mpaka 40 per day.
Kipind cha jpm nimeona nyumba nyingi za kisasa zikijengwa na watu wa kawaida kabisa.
Kwa kifupi kwa wapigaji vyuma vilikaza lkn kwa watafutaji vililegea, achana na maneno ya akina zito wazee wa fursa.

Issue ya majogoo hizo hilo hakuomba apewe lkn watu tu walitoa sadaka baada ya kuona mazuri yake.
Harakati za kuwatembelea wananchi alianza mara baada ya kuingia madarakan sidhn kama ilkua ni kampen.

La mwisho, nchi ilichezewa sana kwani watu walikua hawalipi kodi, alipoingia ndo akaleta haya ma efd machine ambayo kwa kiasi flani yamepunguz upigaji.
Janja janj wote wa kulipa kodi ni kweli aliwafilisi hakucheka na nyani.
Mikopo kwake ilkua ni jambo la aibu
 
No.1 Kama alikuwa hatembezi bakuli wala kuwanyeyekea mataifa makubwa ilikuwaje akakopa trillion 30 kwa miaka yake mitano,kuliko Raisi yeyote aliyemtangulia na huku tukiambiwa tunatumia pesa zetu wenyewe za walipa kodi?
Na kwanini alituingiza kichaka kwa mikopo ya riba kubwa 8% na zaidi na mikopo ya kulipa kwa muda mfupi?
 
zito ana act wakasema inflation ndogo eti uchumi ulisinyaa,, sasa nondo zimepanda kutoka elf 20 hadi elf 36 hap akina zito wanasema mama anafungua uchumi wakati watu tunanagamia
Zitto mchumia tumbo,anatetea vyitu vya ajabu Sana,anatumika Kama alivyotumika enzi za JK.
Kapuku hafai huyo.
 
1. Kufanya Safari za nje kutembeza bakuri kuomba misaada na mikopo.

Moja ya jambo ambalo Magufuli alilipiga vita ni safari za nje kwa maafisa wote wa serikal isipokuwa kwa kibari maalum.
Magufuli hakutak kwenda kujipendekeza kuomba mikopo na misaada nje kwani aliamini kuna hatari ya kupewa masharti magumu ya mikopo ikiwemo kuwekeza dhamana madin na kusaini mambo machafu kama mambo ya ushoga n.k
Hii ilifanya nchi zenye nia ya kutusaidia kuja wenyewe hapa nchini na kufanya makubaliano mbalimbali ikiwemo mikopo na uwekezaji chanya kwa ajili ya maendeleo kwa taifa letu.

2. Sheria ya mwanafunzi kupata ujauzito akiwa shule.

Magufuli alikataa kumruhusu mwanafunzi kuendelea na elimu rasmi baada ya kupata mimba. Wengi baada ya kujifungua waliondok shule za serikali waliendelea private schools au kufanya mitihan kama private candidate.
Rais wa sasa tumeona akiruhusu watoto wakipata mimba bahati mbaya wakijifungua warud shule kuendelea na masomo rasmi.

3. Gharama za maisha kwa watu wa hali ya chini.

Magufuli alijitahidi kupunguza ukali wa maisha kwa;
-kupunguza gharama za kuingiza umeme kutoka laki 3 mpaka 27 elfu.
-kuto weka matozo na kodi lukuki.
-Gharama za maisha kuwa chini mfano, petrol magufuli amekufa ilikua 1800/L sahiz 2573/L kwa mkoa niliopo. Hii imesababisha gharam za vitu vingi kupanda bei hususan vifaa vya ujenzi.
Bila kusahau bei ya mbolea, mzee katutoka tukinunua 65000/=mbolea ya kupandia sahiz inauzwa 115,000/=

4. Stahiki za wafanyakazi,
Jpm ameondoka madarakn watumishi hawajapanda madaraja kwa miaka zaid ya 5, lkn Samia ndani ya miezi michache kawapandisha madaraja angalau wanafuta machozi na kupata moral ya kazi.

5. Kutatua kero za wananchi.

Hivi sasa uozo, uzembe, ubabe na wizi unarudi kwa kasi.

Hapo mwanzo Jpm aliwakosha wananchi wa hali ya chini kwa kwenda kusikiliza kero zao huko huko chini to the ground na kutatua baadhi ya changamoto papo kwa papo na nyingin aliagiza wenye mamlaka kutatua hizo kero.
Hii ilisaidia viongoz wa mikoa, wilaya na halmashauri kuwa makini na kazi zao.

Lakini hivi sasa viongz wengi wanajisahau hawawatendei haki wananchi wa hali ya chini. Hapa nakumbuk mbali walicho nifanyia Tamisemi na utumishi Dodoma Mungu anawaona.


Ebu tujazie U-turn nyingine ulizo ziona zimejitokeza kipindi kifupi baada ya Jpm kututoka.

Note; Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
wewe ni kichaa
 
Back
Top Bottom