U.S. revokes ICC prosecutor's entry visa over Afghanistan investigation

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Marekani memfutia viza ya kuingia nchini humo, Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu(ICC), Fatou Bensouda, aliyetaka Majeshi ya Marekani nchini Afghanistan yachunguzwe juu ya uhalifu wa kivita

Katibu Mkuu wa Marekani, Mike Pompeo mwezi uliopita alisema kuwa nchi yake itazifuta au kutozikubali viza za Wafanyakazi wa ICC wanaochunguza madai hayo dhidi ya Majeshi ya Marekani au washirika wake

Hata hivyo, inaaminika kuwa hatua hiyo haitaathiri safari za Bensouda za kwenda Marekani mara kwa mara kutimiza majukumu yake kwenye Ofisi za Umoja wa Mataifa ambapo huenda kutoa taarifa za kesi katika Mahakama hiyo zifunguliwa na Umoja huo

Aidha, Msemaji wa Idara ya Marekani amesema Wafanyakazi wa Mashirika wanaotarajia kusafiri kwenda kwenye ofisi za UN wanaweza kufanya utaratibu wa kuchukua viza za Kidiplomasia

Bensouda amekuwa akichunguza madai ya kuwepo kwa uhalifu wa kivita unaofanywa na majeshi ya pande zote kwenye mapigano huko Afghanistan tangu Novemba 2017 pamoja na uwezekano Marekani kuhusika hususani wakati wa kuwaweka kizuizini Wahalifu

IMG_20190405_084743.jpg

====

The United States has revoked the entry visa of the prosecutor of the International Criminal Court, Fatou Bensouda, her office said on Thursday, a response to her inquiry into possible war crimes by U.S. forces in Afghanistan.

Secretary of State Mike Pompeo said last month the U.S. would withdraw or deny visas to ICC staff investigating such allegations against U.S. forces or their allies .

United Nations human rights experts called the reaction "improper interference" in the work of the world's permanent war crimes court. It also drew criticism from within the European Union.

"We can confirm that the U.S. authorities have revoked the prosecutor's visa for entry into the U.S.," Bensouda's office told Reuters in an e-mail.

It said it understood the move should not impact Bensouda's travel to the U.S. to meet her United Nations obligations.

The ICC is not a U.N. court, but Bensouda travels regularly to brief the U.N. Security Council on cases referred to The Hague by the UN body.

A State Department spokesman said members of international organizations planning official travel to the U.N. could apply for diplomatic visas. "We recommend that applicants apply as early as possible to maximize the chances of being found eligible," the spokesman said.

The U.S. in not a member of the ICC, along with other major powers Russia and China.

The office of the prosecutor said on Thursday that Bensouda would exercise her duties "without fear or favor".

She has been investigating alleged war crimes by all parties in the conflict in Afghanistan since November 2017, including the possible role of U.S. personnel in relation to the detention of suspects.

ICC judges are still reviewing materials and have not yet handed down a decision on opening a formal investigation in Afghanistan.

The ICC is a court of last resort with 122 member states. It acts only when countries within its jurisdiction are found to be unable or unwilling to seriously investigate war crimes, genocide or other serious atrocities.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwendesha mashtaka wa ICC Fatou Bensouda azuiwa kwenda kufanya uchunguzi nchini Marekani. https://www.africanews.com/2019/04/05/us-slaps-visa-ban-on-icc-prosecutor-gambia-s-fatou-bensouda/
=========
"Prosecutor of the International Criminal Court, ICC, Gambian Fatou Bensouda has been hit by a visa ban by the United States government over her office’s decision to probe alleged war crimes by Americans. She has been investigating U.S. forces and their allies in Afghanistan, a move that United States Secretary of State Mike Pompeo cautioned last month could lead to sanctions on ICC officials. Pompeo said in mid-March: “I am announcing a policy on those individuals directly responsible for any ICC investigations of U.S. personnel. This includes persons who take or have taken action to request or further such an investigation.”

1024x576_720335.jpg
 
Marekani memfutia viza ya kuingia nchini humo, Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu(ICC), Fatou Bensouda, aliyetaka Majeshi ya Marekani nchini Afghanistan yachunguzwe juu ya uhalifu wa kivita

Katibu Mkuu wa Marekani, Mike Pompeo mwezi uliopita alisema kuwa nchi yake itazifuta au kutozikubali viza za Wafanyakazi wa ICC wanaochunguza madai hayo dhidi ya Majeshi ya Marekani au washirika wake

Hata hivyo, inaaminika kuwa hatua hiyo haitaathiri safari za Bensouda za kwenda Marekani mara kwa mara kutimiza majukumu yake kwenye Ofisi za Umoja wa Mataifa ambapo huenda kutoa taarifa za kesi katika Mahakama hiyo zifunguliwa na Umoja huo

Aidha, Msemaji wa Idara ya Marekani amesema Wafanyakazi wa Mashirika wanaotarajia kusafiri kwenda kwenye ofisi za UN wanaweza kufanya utaratibu wa kuchukua viza za Kidiplomasia

Bensouda amekuwa akichunguza madai ya kuwepo kwa uhalifu wa kivita unaofanywa na majeshi ya pande zote kwenye mapigano huko Afghanistan tangu Novemba 2017 pamoja na uwezekano Marekani kuhusika hususani wakati wa kuwaweka kizuizini Wahalifu

View attachment 1062993
====

The United States has revoked the entry visa of the prosecutor of the International Criminal Court, Fatou Bensouda, her office said on Thursday, a response to her inquiry into possible war crimes by U.S. forces in Afghanistan.

Secretary of State Mike Pompeo said last month the U.S. would withdraw or deny visas to ICC staff investigating such allegations against U.S. forces or their allies .

United Nations human rights experts called the reaction "improper interference" in the work of the world's permanent war crimes court. It also drew criticism from within the European Union.

"We can confirm that the U.S. authorities have revoked the prosecutor's visa for entry into the U.S.," Bensouda's office told Reuters in an e-mail.

It said it understood the move should not impact Bensouda's travel to the U.S. to meet her United Nations obligations.

The ICC is not a U.N. court, but Bensouda travels regularly to brief the U.N. Security Council on cases referred to The Hague by the UN body.

A State Department spokesman said members of international organizations planning official travel to the U.N. could apply for diplomatic visas. "We recommend that applicants apply as early as possible to maximize the chances of being found eligible," the spokesman said.

The U.S. in not a member of the ICC, along with other major powers Russia and China.

The office of the prosecutor said on Thursday that Bensouda would exercise her duties "without fear or favor".

She has been investigating alleged war crimes by all parties in the conflict in Afghanistan since November 2017, including the possible role of U.S. personnel in relation to the detention of suspects.

ICC judges are still reviewing materials and have not yet handed down a decision on opening a formal investigation in Afghanistan.

The ICC is a court of last resort with 122 member states. It acts only when countries within its jurisdiction are found to be unable or unwilling to seriously investigate war crimes, genocide or other serious atrocities.



Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana ,ni undava tu,hata Tanzania tukitaka mambo yaende lazima tuwe mandava kama waamerika,haki mbinguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani wanajiona wana haki ya kufanya wanachotaka kwa nchi nyingine bila kuhojiwa au kushitakiwa.
 
Sisi Serikali.yetu ikitanguliza maslahi ya nchi mbele , utasikia, Ooh, ukiukwaji Wa haki za Binadamu, uminywaji Wa Demokrasia, Mara tukashtaki ICC. Vizabinazabina mkome, hakuna taifa lolote duniani linalovumilia maslahi Yake kuingiliwa.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Marekani Yamfutia viza ya kuingia nchini humo Mwendesha mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda

1063810




Marekani imekifuta kibali cha kuingia nchini humo cha mwendesha mashitaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC, Fatou Bensouda baada ya mwanasheria huyo kuanzisha uchunguzi kuhusu uwezekano wa vikosi vya Marekani kufanya uhalifu wa kivita nchini Afghanistan.

Wataalamu wa haki za binadaamu wa Umoja wa Mataifa wameiita hatua hiyo kuwa ni uingiliaji usiofaa kwa mahakama hiyo ya kudumu ya kimataifa inayoshughulikia uhalifu wa kivita.

Hata hivyo wamesema wanajua hatua hiyo haitaathiri uwezekano wa Bensouda kuingia Marekani kufanya majukumu yake katika Umoja wa Mataifa.

Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo mwezi uliopita alielezea uwezekano wa Marekani kuchukua hatua hiyo kwa watumishi wa ICC wanaochunguza madai kama hayo dhidi ya Marekani na washirika wake.
 
marekani naushirika wao wa NATO waliingia iraq, libya bila kibali cha UN hii sababu tosha nao kushitakiwa jambo ambalo hawalitaki kamwe
 
Watu kama akina Mulla Mohammed Omar
(RIP) waliokaribisha magaidi kama Osama ndio wa kulaumu kwa yaliyotokea Afghanistan.

Bila ya wao kuwakaribisha magaidi Marekani wasingekuwa na kisingizio cha kuivamia Afghanistan kwani kwa nini wasingeivamia kabla hawajawahifadhi hao magaidi?

Hizo Rome Statutes ambazo ndio ICC wanatumia zinafaa kuboreshwa ili ku-cover hata ukiukwaji wa haki za binadamu zinazofanywa na watawala wa kibabe duniani wanaolenga kuwadhuru wakosoaji wao badala ya kulenga jinai ya kivita, mauaji ya halaiki na makosa dhidi ya ubinadamu pekee.
 
Anayekataa kuchunguzwa,anajijua kabisa kua ana makosa,kama upo clean huwezi kataa kuchunguzwa.
 
Back
Top Bottom