U-marioo wa kina kaka unawafedhehesha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
Wewe na girlfriend wako wote ni wanafunzi alafu unambiguous mzinga wa laki mbili binti wa watu inategemea atazitoa wapi? Ukisikia kuna jibaba la TRA linaghramia eti unamwita malaya hii ni sawa kweli?

Wote mnafanya kazi, kisa binti hajakuomba pesa na anajipenda mambo ya designer handbags na make up na wewe unaomba mkopo wa mil5. Mara nyingi wanaume wa aina hii si waowaji na kama akitokea kukutamkia ndoa basi utamlea kwa shida na raha mpaka kifo kiwatenganishe.
 
Sasa na nyie wanawake mambo mengine ni kujitakia tu afu bdae mnakuja msingizia Mungu bure,ushajua kabisa mtu wako ni mario achana nae mapemaaaaa kabisa.ya nini uje ulee mwanaume?
Mwanamke unatakiwa utunzwe,ulindwe na upendwe.sio nyie kuhudumia mtu ambae hajielewi
 
Kwenye maisha ni lazima utambue kuwa sio wanaume wote ni waoaji na si wanawake wote wanafaa kuolewa..
 
Daaaah.....wadada mnalalamika sana. Mmetaka haki sawa.....vijana wamejiongeza, wamewapa usukani nyie..mnalalamika. Wakitaka washike wao usukani, mnalalamika. Kwani mna undugu na baba jesika?????
 
Sasa na nyie wanawake mambo mengine ni kujitakia tu afu bdae mnakuja msingizia Mungu bure,ushajua kabisa mtu wako ni mario achana nae mapemaaaaa kabisa.ya nini uje ulee mwanaume?
Mwanamke unatakiwa utunzwe,ulindwe na upendwe.sio nyie kuhudumia mtu ambae hajielewi
Marioo wanamapenzi ya usanii akiangalia maslahi yake anaweza kukupeleka weekend Bagamoyo lakini in the long run utailipia tu ile weekend
 
Marion wanamapenzi ya usanii akiangalia maslahi yake anaweza kukupeleka weekend Bagamoyo lakini in the long run utailipia tu ile weekend
Sasa ndio muache kuwa na mahusiano nao.mtafute strong man anaejielewa,achaneni na wapaka poda,wanyoa viduku na matozi.
 
Sasa ndio muache kuwa na mahusiano nao.mtafute strong man anaejielewa,achaneni na wapaka poda,wanyoa viduku na matozi.
Matatizo ni hizo chances na opportunities za kukutana na wanaume wengi tunakutana no ni marioo
 
Back
Top Bottom