kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 8,371
- 10,010
Una uhakika kua Mungu ndio kamtoa?Kwani wanaokufa Mungu kawang'oa?Amekufa kama binadamu wengine tu wanaokufa ni kua kifo kimemkuta tu akiwa ni Rais.sisi kama wananchi tulishamshindwa kwa ukatili wake,bahati nzuri Mungu akango'a mbuyu
Ila hii nchi ilibidi iendeshwe kibishi mpk watu akili zikae sawa,ujinga na kutaniana kulikua kumezidi sana