kuna Sheria mpa ya magufuli ambayo akikuteua kuwa mkurugendi wa wilaya au Tume ya uchaguzi, inatakiwa kwenye uchaguzi wowote umtangaze mgombea wa CCM hata kama ameshindwa. "mkurugenzi tunakupa gari na ulinzi pamoja na posho na bado unatangaza wapinzani wameshinda" mwisho wa kunukuu