TZ: Membe speaks the truth about Zimbabwe

..hiyo ya kwamba wamesha teta ipo obvious, ndio maana mnachekesha mnaposema eti Membe karopoka, mara oooh JK mfukuze kazi na blah blah kama walevi wakangara!! Its end of the road kwa Mugabe, kila mtu kesha choka.....hata hawa "mafisadi" wa TZ nao pia ni binadamu, au ndio hamwamini kuwa wanaweza kumtosa Mugabe!! Mwingine atasema oooh atasababisha diplomatic crisis...ebo! diplomatic crisis gani? na Zimbabwe ya Mugabe? who cares anymore!!!

Kudos, kwa Membe na JK...finally mnasema kweli sasa!! Ningekuwa mimi, ningeanzisha zengwe la kumng'oa kwa nguvu kama yule Pumbaf mwingine Bacar wa Anjouan...

Watu wakichemsha na kufanya something unbecoming in the diplomatic world tutasema tu.

Wala haituondolei msimamo kwamba Mugabe ni mfamaji.Hapa kuna maswala ya collective responsibility, chain of command, apparent subversion, accountability na answerability kayavunja.

Kwa nchi za wenzetu wanaofuatilia wapi mtu kaweka coma katika sentensi huyu bwana anaweza kuonekana anaanza kumpindua rais.Najua bongo hatujali kwa sababu hata bajeti feki zinapitishwa tu.
 
Naona BBC World leo waimeikamia habari hii: story zaidi....
news_logo.gif

Africa turns up heat on Zimbabwe
African states monitoring Zimbabwe's election campaign have added their voice to growing international pressure over the presidential run-off vote.

The head of a troika of observer states told the BBC violence could make a free vote impossible but his concerns were dismissed by the ruling Zanu-PF party.

The opposition has suffered five violent deaths in recent days, among them the wife of Harare's mayor-elect.

One of its top leaders has also been charged with treason and subversion.

Tendai Biti, who as secretary general of the Movement for Democratic Change (MDC) has often deputised for presidential candidate Morgan Tsvangirai, was arrested last week after returning from South Africa.



It was like they used a club or some blunt object to smash her head
Harare Mayor-elect Emmanuel Chiroto
speaking to the BBC about his wife's killing

If convicted, Mr Biti could face the death penalty. The MDC will see his trial as a further move by the state to destroy its election campaign, the BBC's Peter Biles reports.

Mr Tsvangirai, who attended Thursday's court hearing, described the charges against Mr Biti as "frivolous".

US Secretary of State Condoleezza Rice has told an informal meeting of the UN Security Council that the actions of Zimbabwe's government have ensured the vote will be neither free nor fair.

"By its actions, the Mugabe regime has given up any pretence that the 27 June elections will be allowed to proceed in a free and fair manner," she said.
Opposition 'derailed'
Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe addressed a news conference on behalf of the three nations - Tanzania, Angola and Swaziland - from the Southern African Development Community (SADC) monitoring the polls.



As the observers were being deployed to those various stations, two people were shot dead
Bernard Membe
Tanzanian Foreign Minister

"The first impression we have is that if the elections were to take place today, these elections would never be free and fair... because... the report we received still indicates that violence is escalating throughout Zimbabwe," he told the BBC.

"We have received a report that says on the 16th of June this year, as the observers were being deployed to those various stations, two people were shot dead.

"Of course, it scared most of these observers to the extent that they had to pose the question of why are we here then, and what are we doing?"
"There is a derailment of Mr Tsvangirai wherever he wants to go to campaign, he's detained at police stations," Mr Membe added.

Speaking for the Zimbabwean ruling party, Jerome Macdonald Gumbo accused the Tanzanian foreign minister of bias.
"Skirmishes between the MDC and Zanu-PF are normal but not to the extent that the elections cannot be free and fair," he told the BBC's Focus on Africa programme.

"He [Mr Membe] is biased."
Such severe criticism of President Mugabe by a senior African politician could mark a significant shift in opinion on the continent, BBC world affairs correspondent Mark Doyle reports.

Mr Membe's comments are significant because for many years President Mugabe has sought to deflect criticism of his policies by saying attacks on him are masterminded by the West.

But the impact of Mr Membe's intervention is not yet clear, our correspondent adds: it may infuriate Mr Mugabe or it may be calculated to encourage him to compromise.

'Beaten to death'
Zimbabwe's own independent electoral watchdog, the election support network, says it has at last been formally invited to monitor the poll but only with 500 observers.


Emmanuel Chiroto speaks about his wife's death
That is a tiny fraction of the 12,000 the network had hoped to deploy to keep track of the 9,000 polling stations that will be opened on election day.
The MDC says at least 70 of its supporters have now been killed and 25,000 forced from their homes in a state-sponsored campaign of violence.

The bodies of four party members were found near the capital Harare on Thursday. They had been abducted and tortured to death, the party said.
Amnesty International said on Thursday that 12 bodies of people "tortured to death by their abductors" had recently been found in various parts of Zimbabwe.

Emmanuel Chiroto, recently elected mayor of Harare for the MDC, has been giving details of the death of his wife Abigail.
She is believed to have been abducted on Monday along with her son, 4, while her husband was away. Her son Ashley was left alive at a police station.

Speaking to BBC Radio Four, Emmanuel Chiroto said his wife's body had been hard to identify.

"She was badly swollen, it was like they used a club or some blunt object to smash her head and blood had been coming out of her mouth, nostrils and ears," the mayor-elect of Harare said.

"We thought it was going to be an election not war," he added.
"If it was war we'd not have participated."
Mr Chiroto held the Zanu-PF party responsible for his wife's death.

Source: BBC

SteveD.
 
The action of our minister is too late; i just saw today on TBC tangazo la kuomba uchaguzi wa huru na haki Zim likiongozwa na Mwinyi na Mkapa. Sijui Member acted after that movement of good governance team (CSO) or not
 
...mtoto aliposema '...ona mfalme anatembea uchi' ndipo watu walipoangua kicheko!

uwazi na ukweli Mugabe anachemka, lakini viongozi wengi wa Afrika wamekuwa aidha wanamuogopa/wanamuonea haya kutamka hadharani! Aibu!...

Namshukuru sana Mh.Membe katamka hivyo hadharani, hata kama kuna wataomuona kakosea, lakini ukweli lazima usemwe hadharani, sio kufa na tai shingoni kusubiria itifaki.


Mr Kagame said, "If somebody stands up boldly and says, whether the other side wins or not he shall still hold on to power, why make a fuss about elections then? Why don't you just say I am in power and I am here to stay and then try to justify that?

The whole thing is just a joke." The Rwandan president, Mr Kagame in his address to the press also questioned why Zimbabwe's current leadership is trying to give the impression that there is a democracy in the southern African country yet it has openly declared it won't hand over power

...Paul Kagame huyo, maneno yake ya leo!
 
The action of our minister is too late; i just saw today on TBC tangazo la kuomba uchaguzi wa huru na haki Zim likiongozwa na Mwinyi na Mkapa. Sijui Member acted after that movement of good governance team (CSO) or not

Tumeombwa kuunga mkono campaign kwa kutia saini kwenye hiyo nanihiii
 
...mtoto aliposema '...ona mfalme anatembea uchi' ndipo watu walipoangua kicheko!

uwazi na ukweli Mugabe anachemka, lakini viongozi wengi wa Afrika wamekuwa aidha wanamuogopa/wanamuonea haya kutamka hadharani! Aibu!...

Namshukuru sana Mh.Membe katamka hivyo hadharani, hata kama kuna wataomuona kakosea, lakini ukweli lazima usemwe hadharani, sio kufa na tai shingoni kusubiria itifaki.




...Paul Kagame huyo, maneno yake ya leo!

Membe yuko rights kwenye facts lakini amekosea diplomacy, ilikuwa either aseme kama msimamo wa foreign policy ya Tanzania, au anyamaze na kusubiri kuongea na wenzake.Sasa yeye kawa lukewarm, sijui anaenda kumsihi rais wafanye nini, hakutakiwa kuwaaambia watu kitu atakachomsihi rais kabla ya kuongea na rais.Hii kwa watu wanaofuatilia mambo wanaona inaweza kuwa characterized kama diplomatic blackmail au malicious subversion.

Lakini sisi wenyewe Watanzania tunaoijua colloquism nje ndani tunajua Membe anageresha tu, washaaamua na Kikwete kabla hata ya kwenda huko sasa hapa analeta danganya toto tu.

Kikwete, to his credit, anasifika kwa kutompenda Mugabe na kujaribu kumpaka.To his discredit, he is doing all this behind the scenes na siwezi kumshangaa kama sasa kaamua kumtumia Foreign Affairs Minister wake kumsemea mambo anayomuonea noma Mugabe kumpaka live.

Wajinga inawezekana wanapima maji kwanza kabla ya mkulu kutoa full mass nondo kama la Kagame hapo juu, bongo mwisho, mpaka itifaki na diplomasia yetu ya kimkanda mkanda.
 
ulichosema ni kweli, kipo wazi na nakubaliana nawe 100/100! tofauti ni kwamba, mie naamini ya kuwa Membe anabaraka zote za Boss wake!! na naamini kwamba hana ubavu wa kuongea kisicho sera za JK....hayo wanayaweza wakina Powell and the like!! nadhani tumeelewena...

Wakati unaandika hivi na mimi nilikuwa naandika hiyo post hapo juu, which has some coinciding points.

Lakini diplomasia gani hii ya rais kuogopa kusema anachofikiri hadharani katika situation iliyo dire kama ya Zim?

Foreign policy is not above the adage "perception influences reality" kwa hiyo watu wanaojua na kufuatilia mambo ya chain of command wakimsikiliza Membe wanaona huyu mtu hamnazo.Hata kama una baraka za rais, huwezi kusema naenda kushauriana na rais, tena hapo ndiyo unaongea mambo kama tayari ndiyo foreign policy yenu kabisa.
 
Hvi kweli kutokana na sheria za uchaguzi wa Zimbabwe, huyu Mugabe hawezi kujitoa na kumchagua mtu mwingine toka ZANU kuwakilisha chama akisingizia maradhi ama jambo lolote lile maadam atoke tu ktk Uongozi!...Kwa niniu asitumie janja ya Mwalimu Nyerere?...
Ama kweli vitu kama hivi ndio humvulia kofia mzee wangu mwalimu maanake alijua kucheza kama Pele na akatufunga magoli...
Navyofahamu mimi na jinsi cristal ball inavyonieleza, hakuna suluhu Zimbabwe hata kidogo zaidi ya Mugabe kuwa nje na huyo Morgan na MDC yake kutoshinda! Nje ya hapo Zimbabwe ni Somalia inafuatia baada ya Siad Barre...Huyu alichukiwa kama Mugabe lakini kwa sababu walitaka kumwondoa walikuwa waiuze Somalia kwa Marekani -Wasomali walishtuka na kunzisha vagi ambalo hadi leo hakuna salama.. Over 10 years sasa hivi na Somalia kama nchi imerudi nyuma miaka 50...
Yaani wakuu sioni kabisa mwanga upande wa pili wa pango hili!...
 
Tanzania, current chair of the African Union,........

Dua tuna kila obligation ya kushughulikia suala la Zimbabwe, tutake tusitake. Kwanza sisi ndio tulimuweka madarakani Mugabe, pili sisi ndio mwenyekiti wa AU, again sisi siku zote tulikuwa mstari wa mbele kuwakomboa waliomatatizo ya tawala za kibabe, why not now?
 
Hvi kweli kutokana na sheria za uchaguzi wa Zimbabwe, huyu Mugabe hawezi kujitoa na kumchagua mtu mwingine toka ZANU kuwakilisha chama akisingizia maradhi ama jambo lolote lile maadam atoke tu ktk Uongozi!...Kwa niniu asitumie janja ya Mwalimu Nyerere?...
Ama kweli vitu kama hivi ndio humvulia kofia mzee wangu mwalimu maanake alijua kucheza kama Pele na akatufunga magoli...
Navyofahamu mimi na jinsi cristal ball inavyonieleza, hakuna suluhu Zimbabwe hata kidogo zaidi ya Mugabe kuwa nje na huyo Morgan na MDC yake kutoshinda! Nje ya hapo Zimbabwe ni Somalia inafuatia baada ya Siad Barre...Huyu alichukiwa kama Mugabe lakini kwa sababu walitaka kumwondoa walikuwa waiuze Somalia kwa Marekani -Wasomali walishtuka na kunzisha vagi ambalo hadi leo hakuna salama.. Over 10 years sasa hivi na Somalia kama nchi imerudi nyuma miaka 50...
Yaani wakuu sioni kabisa mwanga upande wa pili wa pango hili!...

Mkandara,
Huyu babu hataki kabisa mtu mwingine awe Rais wa nchi hii labda baada ya kufa kwake! Yeye hakubali katakata! Kumbuka ule mkutano wa Tshololo kati ya Mnangagwa na Moyo, pamoja na wengine; mzee alistuka akasema wanataka kumpindua; moyo akapewa adhabu ya kutogombea ubunge na Mugabe. Kuona hivyo Moyo akaenda kuwa independent. Mugabe akam-handpick Grace Mujuru kuwa Vice president. Mwaka jana Simba Makoni akatangaza kuwa anataka kugombea Uchaguzi, Mugabe akamfukuza Zanu -PF akawa indepenent. So you can see the man can not dream the signs.
Wachunguzi wa mambo wanasema huyu jamaa haamini mtu yeyote atakayechukua madaraka kwa sababu ya mabaya aliyofanya hasa yale mauaji ya matebeleland ya watu 20,000.

But one thing Swahiba Mkandara, naona wewe kila kitu ni Marekani; hivi ni kipi kinakufanya uamini kuwa Marekani walitaka kuuziwa Somalia? Angalia history! Hivi Marekani amewahi kununua nchi?
 
Maneno ya FM Tanzania ni Mazuri lakini mmechelewa......

Siku nyingi hapa ndani ya JF na duniani kwa ujumla watu walishasema huyu Bob Mugabe anahitaji 'strong words of condemnation' lakini ndio kwanza viongozi wetu wa nchi za Africa mkatia pamba masikioni. Mkidhani kwamba Wazungu wanaingilia mambo ya ndani ya Zimbabwe na Afrika. 'Hero' wenu Veteran Mugabe, kidogokidogo Mugabe akajenga confidence ya ajabu na kuwa ni 'tende' lisilokubali tiba tena. Hili ni sikio la kufa.....

Mh. Membe maneno mliyoyasema ni mazuri lakini 'too little too late' kama alivyosema mchangiaji mwengine aliepita.
Mugabe ni dikteta 'asie na haya wala haoni vibaya', na kwake yeye sio ishu kuona watu wake wakiteseka ili mradi yeye yupo madarakani na anaendelea kula upepo na maisha mazuri na mkewe ambae kiumri ni sawa na binti yake . Hili jamaa ni 'PURE SELFISH'.
Natamani Mzee wa Butiama angekuwapo maana angemwita huyu Msasani na kumpaka 'choo live' na kumwambia aachie usukuni.

Mugabe amekuwa ni zigo la mavi, halibebeki tena maana kila upitapo utanuka. Ni wakati sasa viongozi wa Afrika msimae mumwambie kwa sauti moja 'enough is enough'.
Hii 'crap' ya diplomasia na mahusiano mazuri saa nyingine inabidi iwekwe kando na ukweli usemwe wazi pasi na chembe ya unafiki.

Kama Bob anadhani wazungu wanataka kutawala tena Africa kama enzi za Ukoloni, mawazo yake hayo ni mgando na yamepitwa na wakati, maana jamaa wana mbinu zingine kabisa za kutawala na kuifluence policy making ktka Africa.

Cha muhimu ni sisi Waafrika kuungana na kuwa na sauti moja hii ndio njia pekee ya kupunguza ukoloni mambo leo, lakini pia hatuwezi kumuacha mtu mmoja akitesa watu wake na kuharibu jina zima la Afrika kwa ukatili wake.

GO MUGABE GO!!!!! WE DON'T NEED U NO MORE!!!!!!
 
issue hapa ni Membe kasema kweli!! hayo mengine ni intellectual exercises za JF!. Mbona mnakuwa na "mentality ya ukikimbia nchale, ukaa nchale......" yaani hata wakifanya kitu sahihi, basi mtapindisha ili mkosoe!! ktk hili mnamwonea bwana membe..

I couldnt say it better! Thanks my man!

Watu humu wana nadharia sana. Hapa hatushindanishi visomo..nani alisoma International relations au politics zaidi ya mwingine! No! It doesnt need a Harvard graduate in the department of government to know that what is happening in Zimbabwe is just Terror and not violence!

People are still stuck in the past mentalities of ukombozi! what ukombozi? This baffon is killing his own people..eti anamkomoa Bush na Brown, hiyo ni akili au ni tope? and others we are very busy supporting! Jamani wanaokufa ni waafrika wenzetu siyo wazungu. Watu mnalijua hilo?


Membe kwa sasa ni BOSS wa maforeign ministers wote wa Africa by virtue of JK being the Boss of AU. Hata wao wanajua kabisa kwamba sasa wanaonekana vituko kwenye macho ya kimataifa. Mbeki ndo kabisaaaa amekuwa hopeless...na hii quite diplomacy..Ohh...lets wait western countries will use statistics of the evets in Zimbabwe to write their books which at some point in life, our children shall use in their history classes! Hawa watu wanaouliwa kila siku kwa sababu ya political beliefs zao, has nothing to do with Bush.

Please comrades, we all have our differences on this issue, but lets not condone the death and terror of our fellow Africans in the name ya kumkomoa mzungu.

Ni kama yule bibi aliyekataa kulima shamba lake, eti watoto wa jirani zake ni wezi watamuibia mazao..guess what? yeye na mtoto wake walikufa njaa, kwa sababu alitaka kumkomoa mtoto wa jirani!

Inasikitisha sana.
 
Watu wakichemsha na kufanya something unbecoming in the diplomatic world tutasema tu.

Wala haituondolei msimamo kwamba Mugabe ni mfamaji.Hapa kuna maswala ya collective responsibility, chain of command, apparent subversion, accountability na answerability kayavunja.
Kwa nchi za wenzetu wanaofuatilia wapi mtu kaweka coma katika sentensi huyu bwana anaweza kuonekana anaanza kumpindua rais.Najua bongo hatujali kwa sababu hata bajeti feki zinapitishwa tu.

Muungwana Pundit how do you know kama kavunja hizi diplomatic etiquittes? Unajuaje kama aliongea kabla ya kupata maelekezo ya mwajiri wake? Kifupi yeye ndiyo sauti yetu! Au unafikiri kwa nini aliajiriwa? c`on kazi ya JK siyo kutoa press conferences kwa waandishi...hiyo ni kazi ya Membe. Kwa nini usiseme kwamba Membe kaongea baada ya kuruhusiwa na Boss wake? (which is too late, but still worthy it!) maana kabla ya hapo alikuwa hajaongea in such strong words....

Membe anafanya kazi yake na kwangu mimi kaifanya vyema kabisa. Kutokana na "diplomasia yetu ya kiafrica" ya "ubrotherhood". Kama ni unafiki hakuna nchi isiyo na unafiki kwenye diplomasia na naweza sema viongozi wetu wameiga vyema kabisa sytle ya hao hao western powers. Unafiki is the rule of the game in international diplomacy..we need not go to Fletcher school of diplomacy to know that......Sasa kama mpaka leo Bush anakwambia Iraq na Afghanistan there is "peace and freedom" baada ya US kufanya regime change..unategemea Membe kijana wa Lindi akwambie nini?

No... theories na reality ni tofauti sana......your arguments are good for academic exercise, but they cant work in the real world we live in!
 
Pundit,
When the first killing started in Rwanda, is when the UN peacekeeping forces started withdrawal from Rwanda; paving for Diplomacy to work. At a time when 100,000 people were dead still the UN officials were still plying between Geneva and New York; smiling and having short meetings in suits. At a staggaring number of 300,000 death; the diplomats were still looking for a solution! Then 800,000 people were killed, our UN said we have to deploy forces; at a time there was no one to kill!

Compare with this: NATO after knowing there was too much talk in the UN especially from the so called rogue nations in the UN (Too much democracy/diplomacy in UN); they knew that Milosovec will go on cleansing the minorities in the former Yugoslavia. They NATO head of states set down not more than a week, they rescued that cleansing.

For Mugabe dilomacy is the waste of time!

Three days ago when Condolese Rice met Raila Odinga you know what Raila suggested? guess!
 
Pundit,
When the first killing started in Rwanda, is when the UN peacekeeping forces started withdrawal from Rwanda; paving for Diplomacy to work. At a time when 100,000 people were dead still the UN officials were still plying between Geneva and New York; smiling and having short meetings in suits. At a staggaring number of 300,000 death; the diplomats were still looking for a solution! Then 800,000 people were killed, our UN said we have to deploy forces; at a time there was no one to kill!
Compare with this: NATO after knowing there was too much talk in the UN especially from the so called rogue nations in the UN (Too much democracy/diplomacy in UN); they knew that Milosovec will go on cleansing the minorities in the former Yugoslavia. They NATO head of states set down not more than a week, they rescued that cleansing.

For Mugabe dilomacy is the waste of time!

Three days ago when Condolese Rice met Raila Odinga you know what Raila suggested? guess!


Mkuu you spot it!

At times I have a very different views with the so called international diplomacy. Sijui wenzangu mnasemaje, lakini mimi nikiangalia Darfur, Zimbabwe et al..I just get a second thought on the whole essence of international diplomacy. We may hate US and its friends, but at times, mimi kuna mambo wanayoyafanya, naona OK kabisa! kama swala la NATO na Kosovo...I think UN was just useless, so is Rwanda and Now Darfur! Leo Bush angeamua kuingia kwa nguvu Darfur, I would highly welcome it. Watu wanakufa huko Darfur jamani si utani ati wa CNN!There is real killing!
 
Membe ameharibu itifaki ya ndani ya nchi na ameshindwa kuwasilisha ujumbe kwa jumuiya ya Mataifa.

Foreign minister hawezi kuahidi jumuiya ya Mataifa kwamba anaenda kumwambia bosi wake achukue hatua kwa vile yeye Membe anaona Zimbabwe inahitaji kuokolewa.

Membe kusema Zimbabwe inahitaji kuokolewa ni kutamka position ya Tanzania kwamba haturidhishwi na hali ya Zimbabwe.

Sasa Taifa likishatamka kwamba haliridhishwi na hali ya Zimbabwe haliwezi tena likasema hapo hapo kwamba Waziri atamshauri Rais achukue hatua. Kama hiyo ndio position ya nchi - Zimbabwe inahitaji kuokolewa - basi hakuna kushawishiana tena kuhusu kuchukua hatua. Si mbesha kubali tatizo? Huko ni kuchemsha. Membe amewahi kufanya kazi foreign affairs, kwa nini anatuabisha, tunaonekana mataifa ya vilaza, hata vitu vidogo vinatushinda?

Itifaki ya hapa ni rahisi, rahisi mno. Foreign minister anaiongolea nchi. Kama anachotaka kifanyike inabidi amshawishi Mkuu wa nchi basi hatakiwi kuahidi chochote. The most he coulda said, if pressed, ni "nitapeleka ujumbe." Mwisho wa hadithi.
 
Membe ameharibu itifaki ya ndani ya nchi na ameshindwa kuwasilisha ujumbe kwa jumuiya ya Mataifa.

Foreign minister hawezi kuahidi jumuiya ya Mataifa kwamba anaenda kumwambia bosi wake achukue hatua kwa vile yeye Membe anaona Zimbabwe inahitaji kuokolewa.

Membe kusema Zimbabwe inahitaji kuokolewa ni kutamka position ya Tanzania kwamba haturidhishwi na hali ya Zimbabwe.

Sasa Taifa likishatamka kwamba haliridhishwi na hali ya Zimbabwe haliwezi tena likasema hapo hapo kwamba Waziri atamshauri Rais achukue hatua. Kama hiyo ndio position ya nchi - Zimbabwe inahitaji kuokolewa - basi hakuna kushawishiana tena kuhusu kuchukua hatua. Si mbesha kubali tatizo? Huko ni kuchemsha. Membe amewahi kufanya kazi foreign affairs, kwa nini anatuabisha, tunaonekana mataifa ya vilaza, hata vitu vidogo vinatushinda?

Itifaki ya hapa ni rahisi, rahisi mno. Foreign minister anaiongolea nchi. Kama anachotaka kifanyike inabidi amshawishi Mkuu wa nchi basi hatakiwi kuahidi chochote. The most he coulda said, if pressed, ni "nitapeleka ujumbe." Mwisho wa hadithi.

Kuhani,
What I understand: Before head of states meeting about Zimbabwe there was a ministers meeting. The Ministers meetings agenda was discussed; then Ministers agreed that their head of states are going to be briefed in such a manner approprately. Angalia hapo juu kuna mtu kishasema, maybe even before this meeting with these ministers his boss had a meeting with him. In such issues it is normal. For Mugabe Mr. Membe said the right thing! note that the message is directed to ordinary people who are dying, and not elites like you!
 
Kuhani,
What I understand: Before head of states meeting about Zimbabwe there was a ministers meeting. The Ministers meetings agenda was discussed; then Ministers agreed that their head of states are going to be briefed in such a manner approprately. Angalia hapo juu kuna mtu kishasema, maybe even before this meeting with these ministers his boss had a meeting with him. In such issues it is normal. For Mugabe Mr. Membe said the right thing! note that the message is directed to ordinary people who are dying, and not elites like you!

What you understand is wrong, and the guesswork is not compelling!

We're talking about Membe's statements following the Minister's meeting, not Presidents. Membe said that they are going to tell their presidents to take actions to save Zimbabwe. Does that sound like "briefing" the Presidents?

We're talking about Membe's protocol gaffe, not whether Zimbabweans are dying or not. And in the spirit of diplomacy, we 'll bypass your amateurish 'elite' shot at me.
 
Back
Top Bottom